Wadau kuna jamaa wamenitonya hapa watakutana na JK mchana huu hapa DK. Mimi nipo mbali kidogo na Copenhagen so kama kuna maswali mnadhani
ni muhimu akaulizwa mnaweza kunipenyezea kabla ya 11:30am sawa´na 12:30pm East African time.
Nasubiria, then Mods mtaiondoa baada ya huo muda asante´ni
Mbu,
wasiliana nasi upate ushauri wa uhakika, pia tutakuandalia Mchanganuo wa biashara(Business Plan) baada ya kukubalina na aina ya biashara unayoweza kuifanya.
Note: Kutakuwa na gharama ingawa sio kubwa. wasiliana nasi info@gmconsultz.com, ama ceo@gmconsultz.com,
Nisipotoa shukrani kwa Uongozi wa JF na kwa wana JF kwa ujumla nitakuwa sitendi haki, Hivyo nasema asanteni sana kwa kunifikishia ujumbe, Hakika huu mtandao una hazina kubwa sana.
Na napenda kusema nimepata request za kutosha na sasa tupo kwenye mchanganuo wa kupata the best 3. Kwa wale...
Nisipotoa shukrani kwa Uongozi wa JF na kwa wana JF kwa ujumla nitakuwa sitendi haki, Hivyo nasema asanteni sana kwa kunifikishia ujumbe, Hakika huu mtandao una hazina kubwa sana.
Na napenda kusema nimepata request za kutosha na sasa tupo kwenye mchanganuo wa kupata the best 3. Kwa wale...
Mkuu nashukuru kwa request yako lakini sitaweza kufanya hivyo bila idhini yao maana hatufahamiani. Ila nitawaomba wao wawasiliane na wewe badala ya mimi kukupatia mawasiliano yao. asante
Njia za mawasiliano sio tatizo maana tupo partners sehemu 5 so the nearest partner will contact you na pia tuko online muda wa asubuhi
saa za bongo saa 2 hadi saa 6 mchana then jioni tena ya 3 hadi saa 6 usiku. karibu kuwasiliana nasi
Tunahitaji web designer na developer kama uko tayari wasiliana nasi kwa njia ifutayo
simu +4531860936 ama kwa email: info@gmconsultz.com ama kwa njia ya PM
First come, First Served
We guarantee to listen to anybody who call or write to us
Hint:
Tunahitaji mtu anaeweza kudesign na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.