Huyu ndugu kasema kweli Rais Siyo Mungu
Lakini inabidi awe na uchungu na watanzania. Jaribu kuona sasa watanzania wanaotumia Reli wanavopata shida. Rais kama mwenye Nchi angeweza kuamua wahindi hawa waendeleze Reli zote ama sivyo tuna rasilimali watu Kibao Tanzania waendeshe.
Je, Na hawa...
hawa watu ni wajanja kuliko hata nyani! wamekula maliasili na hata kudiriki kubomoa majumba na kunyang'anya mashamba yetu eti kuna wafadhili/wawekezaji wanataka kujenga au kuwekeza kitu fulani. lakini unajiukiza mbona mashamba, majumba hata viwanda viliuzwa kwa bei che, eti kwa wawekezaji ambao...
Kwakweli watanzania tumekuwa kama walevi fulani wasojua haki zao, lakini bado tupo zaidi ya walevi maana walevi hujua haki zao ndo maana ukimwaga pombe yao hata kama yu hoi utakiona.
Nadhani haya ndo maisha bora. Lakini ni bora tukampa mtu madaraka kulingana na utendaji wake na uwajibikaji wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.