Ut
Utayajutia maamuzi yako. Kuna wamama waharibifu wa mahusiano pia, hawataki mabinti wa wenzao wasifike kwa tabia njema au waolewe. Mf. Kwa wanawake waliosoma masomo ya sayansi wanaume ni kampani yao kubwa maana hata darasani kati ya watu 90 wanawake wanaweza kuwa 10. Umalaya ni hulka sio...
Si mnasema mnajua kutest mitambo? Lililompata huyu mwenzetu Liwe fundisho. Ukiwa na mtu anayesali atakulinda kwa maombi ila mnataka wanawake wanaosali ili muishi nao Kama makahaba mtaponea wapi. 😂😂😂
Hata mzazi aliyekuzaa aliliwa 😂😂😂, mnapodhalilisha wanawake kwa Mambo mliokubaliana kufanya sirini mkumbuke moja wa wazazi/ walezi wako ni mwanamke. Hujui na yeye yalimpata yapi.
Wengi wanaodhalilisha wanawake ni wanaume wasiojiamini aidha kutokana na kuonewa wakati wanakua au matatizo yao ya...
Because I know the impact of what you do, I have brothers who suffer the consequences... They are empty inside, they work so hard but nothing to show. Some ended marrying women who knew how to fake love as they did... Now they are so unhappy.
I have a brother who can't reach a conclusion on who...
You need help boy, man up.
Unajitesa mwenyewe maana hata ijulikane Nini your life is all about you, unaingia Vita usiyoweza kushinda.
Eti inajulikana wanawake ndo wanaoumizwa, you are a fool unahangaika kutengeneza historia inatakayo kuhukumu na uzao wako matendo yako yataambatana na wewe na ni...
Unatia huruma kudhani utawalipa kisasi wanawake, huwezi labda Kama unasambaza ukimwi na maradhi mengine makusudi napo bado na wewe utakufa nayo. You don't win in this game, unajitesa mwenyewe unajikosesha Raha ya kupenda na kupendwa... Uzee wa majuto unakusubiri ukibahatika kufikia uzee. Unatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.