Mbona hilo eneo lipo miaka mingi tu. Ukiwa unaelekea bagamoyo sugar pale njiani kuna bango kubwa. Ni maeneo ya tafiti mbali mbali kama sijakosea.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Si mnasema kila siku wanawake wapewe nafasi, basi ndio hivyo sasa. Tutaelewana tu huko mbeleni. Na huyo mama akikaa miaka kumi wanaume watajikuta katika harakati za kupigania haki zao.
Waswahili mmeanza tena na vioja vyenu.
Hamuishi kusifia watu bila vigezo vya msingi. Mkishageukwa mnaanza kulia lia tena. Akina mama ndalichako hamkuisha kuwapigia debe haya semeni ni kipi cha maana kawafanyia.
Tuache mamlaka husika zifanye kazi yake pindi muda muafaka utakapofika.
Na mwisho...
Watanzania msiojitambua mshaanza upuuzi wenu. Hamjitambui coz hamjui nini mnataka na mkijua still hamjui njia sahihi za kufanikisha.
Kosa kubwa watz hufanya siku zote ni kuwarekebisha CCm wanapokosea. Hata JK alipoamua kuleta katiba mpya mlianza maneno yenu haya, mwisho akawageuka.
Mbona...
Mtoa mada
Tufanye hisia zako na za wakuu wetu ni sawa, sasa nikuswalike
1. Ni nchi gani hiyo inayotumia COVID-19 kama biashara?.
2. Je hizo barakoa zote zinazoingia nchini zinatoka kwenye nchi hiyo tu?
3. Na hizo chanjo pia zote zinatoka Huko?.
4. China ni marafiki zetu tangu uhuru, je na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.