Tungetemea Shule zilizo chini ya taasisi za kidini karo zao zingekuwa chini lakini wapi...kwasabu karibu vifaa vyote wanavyo import vinaingizwa nchini bila kodi
Kero ni wale wanaomba sadaka au kukunali kupokea sadaka ,sadaka utolewa madhabahuni kwn mabas hakuna madhabahu wapuuze hao.Kwa swala la injili furahini kwa hilo,itakuja siku utatafuta wa kujuhubiria hutampata
Mtu Yeyote anaye waponda wapinzani uelewa wake uko chini sana, bila upinzani tusingekuwa hivi, hata CCM yetu inajipanga upya kwasababu ya timi imara ya Upinzani.
Wanyonge tena wataumia Mara mbili unit zitapanda na bidhaa zitapanda,ndugu zangu si mnakumbuka kilichotokea bungeni?tuliambiwa VAT iliyoowekwa kwn makampuni ya mawasiliano itawahusu wao yaani hayo Makampuni, kwa sasa ukinunua vocha unaletewa mchanganuo,wabunge wanapewa muda wa maongezi mwaka mzima
Jamaa kumbe wanavuta mkwanja? Turudi enzi za Nyerere wanasiasa walipwe kama walimu alafu sek ta nyingine walipwe kama wabunge,wrote watarudi kazini kwao
Tuanapokuwa tunaongea mambo ya kitaifa tauche upambe,kweli ni hatua nzuri ya Serikali iliyochukua,na bila kinyongo tunampongeza Rais wetu mpendwa,lakin mimi kama mzazi ningeomba mzigo mkubwa uchukuliwe na Serikali,kuna michango mingi midogo inayotuumiza,pili mimi kama mzaz nauliza ni kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.