KATIKA KIPINDI CHA TUONGEE ASUBUHI KINACHOANZA SAA MOJA NA NUSU KATIKA STAR TV KESHO ATAKUWA MZEE HASHIMU RUNGWE KUELEZEA KUHUSU MIKUTANO YA KISIASA KUZUILIWA HAPA NCHINI
HAKUNA MFANYABIASHARA ASIYEDAIWA NA KAMA WEWE NI MFANYABIASHARA NA HAUDAIWI BASI NI KANJANJA.FUATILIA KWA MZEE MENGI MIEZI MIWILI ILIYOPITA ALIPUNGUZA WAFANYAKAZI 40 NA JUZI KAWAONDOA WENGINE NA MISHAHARA IMEKUWA SHIDA LAKINI NENDA MWANANCHI HALI NI HIYO HIYO NENDA KWA MANJI.KWA TAARIFA YAKO...
Makunga tuko naye ni bosi wetu Star Tv na wala siyo kazi yake kusoma magazeti mnapotosha sijui kwa maslahi ya nani ? Yeye ni mhariri mkuu. Mngefanya utafiti basi kidogo na wala siyo mtangazaji.Lakini magazeti yanasomwa Dar es Salaam na wala siyo Mwanza.Bosi Makunga tangu aanze hapa Star Tv mara...
Kwa nafasi ya mbunge wa kuteuliwa sheria na masharti ni yale yale sawa na mbunge wa jimbo,viti maalumu na huyo mbunge wa nafasi kumi za Rais.kinachoangaliawa ni aina ya kuapishwa.wabunge wote uapishwa na spika ndani ya bunge lakini nafasi za kuteuliwa na rais uapishwa na rais katika ikulu ya rais.
Abdalla Majura mbona aligombea nafasi ya kuomba kuteuliwa na CCM hata mwaka 2010 kwa bahati mbaya wengi wetu bado wachanga sana katika siasa lakini ndiyo tunaongoza kwa kuchonga
kuna nafasi za kuteuliwa na kuna nafasi za kuchaguliwa kidemokrasia na wanannchi.Naibu waziri ni nafasi ya kuteuliwa hali kadhalika mkuu wa mkoa ni nafasi ya kuteuliwa lakini mbunge ni nafasi ya kuchaguliwa na wananchi.Kwa utaratibu unaotumika katika nafasi za kuteuliwa pale rais anapokuteua...
lowassa ni janga la kitaifa angekuwa dr slaa sawa lakini huyo mtu hapana kwa sisi tunayemfahamu lakini kwa mliomjulia ukubwa mnashabikia msichokifahamu
Kazi ipo tanzania,unamkumbuka mtu anayeitwa chambo alikuwa katibu mkuu wa ujenzi mnamo mwezi Februari aliteuliwa mkuwa katibu tawala wa mkoa wa Manyara,Je anashikilia vyeo viwili ? Nikusaidie kwa akili ya kawaida rais anapofanya uteuzi automatically cheo cha kwanza kinakuponyoka na kubaki na...
Kwa mujibu wa Mshauri wa Siasa na Mwandishi wa Hotuba za Makamu wa Rais,Ndugu John Mapinduzi, hakuna kitu kama hicho,labda watu wanaamua kujitekenya na kisha kucheka wenyewe.Tuache uzushi wa namna Hui,hauna tija.Yeriko alishatudandanya mengi kuhusu Dr Slaa,mara ooh ataongoza...
tanzania ya sasa kununua vyombo vya habari na wahariri ni kitu cha kawaida na lowassa huo ndiyo mchezo wake labda nikukumbushe uchaguzi wa 2005 jinsi alivyomnunua mhariri wa mwananchi na kuandika habari mbaya za dr salimu ahmed salimu lakini nikija suala la kuzomea mbona ni kitu cha kawaida...
kaka umeamua kuhama na gamba Lowassa kwenda chadema ? Maana uso umeumbwa na aibu ni vigumu kwako kumwacha kutokana na kukupa mtaji wa kuanzisha kagazeti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.