Ni aibu, kwani kuna michezo mingi ya kuigiza mbali na hayo mahudhurio hafifu. ndiyo maana hata Zekomedi jana wamejaribu kwaonya kwa lugha zao za kukariri.
Naomba tujadili kidogo pengine na kutoa ushauri kuhusiana na ukorofi wa madereva wa magari ya serikali barabarani. Utakuta dereva anakimbiza sana huku kawasha taa zote na hata wakati mwingine anatanua na kuvunja sheria za barabarani. Ukimnyima nafasi ya kupita anakutukana na kukutishia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.