Sema kuna kamoja nilikua nako kalikua kasumbufu jamani khaa.. kila saa kanataka mchati, ukatumie meseji, mara video call, ukasifie, ukape hela, yaani ilikua bado kidogo wife atudake. Nikaona kataniletea matatizo nikapiga chini kimya kimya.
Mkuu hapo ntapingana na wewe. Nakumbuka wakati tupo sekondari mabinti wengi wa age yetu walikua wanatoka na majamaa ya mtaani makubwa kinoma kipindi hicho yanakuja kuwachukua na magari sisi tunaonekana vinuka mkojo hatuna kitu.
Sasa saiz tumekua wakubwa, nasisi tuna vihela na vigari, unataka...
Jana nimecheka sana kusikia eti kuna timu maalumu ya kwenda kuwaombea msamaha hawa waliotia hasara kwa Mh Rais. Nikazidi kucheka zaidi sana niliposikia eti wahusika wanachotakiwa kufanya ni kujutia makosa yao na kuahidi kutokurudia tena basi wanasamehewa..🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu wengi hawajui tofauti kati ya MENEJA wa biashara na MFANYABIASHARA. Wengi wanadhani meneja ni mfanyabiashara! Kumbe meneja yeye ni MSIMAMIZI wa biashara na wala sio MFANYABIASHARA, maana yeye hajawekeza chochote kwenye hiyo biashara. Ndio maana kwa meneja anaweza kuona kama kumpoteza mteja...
Sisi watanzania kwetu mtu kulalamika ni sawa na kuleta fujo. Sisi ukifanyiwa chochote hata kama kimekuudhi, ukiulizwa vipi unasema "safi tuu". Wenzetu wanajua haki zao na wanapoona zinakiukwa hawakai kimya, sisi tunawaona wakorofi.
Elimu ya bure
Kibiashara ni kosa kuweka kitu chochote chenye maudhui ya kisiasa, kidini, itikadi michezo nk katika eneo la biashara. Ndio maana hata jezi za timu za mpira, bendera, stika, au nguo za chama haziruhusiwi eneo la biashara/ofisini.
Infact hata aina ya muziki unaopigwa sehemu ya...
Nje ya mada
Kitu nilichokuja kugundua..
Kijana (hasa mwanaume) ukianza kushika hela in your 20's, na ukakosa control hasa kwenye vyakula na mazoezi, ukafakamia mabia, manyama choma na makitimoto, by the time unagonga 30 -35 tayari una obesity. Usiposhtuka, ukifika 40 tayari una kisukari na...
Mwaka juzi nilizitumia sana hizo dawa wakati nikiwa nasumbuliwa na maumivu makali ya nerves. Nilikua nameza hizo pamoja na pregabalin na madawa kibao ya kutuliza maumivu. Zina usingizi balaa ila tatizo lake nilikuja kuliona baada ya kumaliza dozi. Usingizi nilikua nautafuta kwa tochi kuna siku...
Mwanamke akishajua yuko peke yake kwako anaanza kuwaza kwamba usikute hapa nimeingia choo cha kike, mbona hamna mtu mwingine anaelitaka hili jamaa? Ila akiona una mishemishe nyingi, mara vimeseji, simu, nk anajua yes.. hapa ndio penyewe!
Mijadala yote ya aina hii huwa iko based kwenye ONE WRONG ASSUMPTION!
Watu wengi sana wanaofanya biashara hua wana assume kwamba kwavile wao wameweza kufanya biashara na kufanikiwa, basi MTU YOYOTE anaweza nae kufanya biashara na kufanikiwa! Mfano mleta mada anaona kwavile yeye ameweza kukuza...
Suala la kutukana ni malezi na makuzi ya mtu. Infact kuna watu wao kutamka matusi kwao ni kawaida tu hata katika maongezi ya kawaida. Mimi binafsi huwa siwezi kabisa kutamka maneno ya matusi hata iweje, na hua namshangaa mtu anaetamka matusi hasa mwanamke.
Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.