Nakubaliana na wewe Shiumiti
maana sisi tungekubali mkoloni atutawale kwanza atupangie miji na kutujengea barabara nzuri na kutuletea maendeleo kidogo then ndio tungedai uhuru wetu sasa tukadai uhuru wakati sisi wenyewe bado mambumbumbu sasa ona faida yake. Mafuriko, Wizi, Magonjwa na nk lakini...
Mimi nakubaliana na Recta kabisa maana kila siku Tanzania tunaomba msaada hatuishi kuacha kuombaomba misaada kwa nchi tajiri kwa kisingizio kuwa sisi maskini.
huu umaskini ni wa kujitakia kabisa maana ukiangalia hospitali zetu ni matatizo matupu
maana ni kweli kabisa aliyetulaani kafa na...
Huyu wala sio mwanaume alizaliwa mwanamke ila baadae ndio aliamua kujibadilisha na kuwa mwanaume kwa hiyo sio kitu cha ajabu kabisa kama uliangalia 60 minutes alikuwa anahojiwa na Barbra Walters.
Ndio Dunia jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.