Wakati tukiwa ulanga tulikuwa tukisikiliza ile ya ifakara ambayo nakumbuka studio zake zilikuwa karibe na deport ya PEPSI hapo Ifakara.
Hiyo Ulanga Fm itakuwa live? Maana naona Lowasa anakwenda Malinyi tu kulingana na ratiba. Nadhani angeenda Mahenge pia
Hii lugha ya kigeni uko fiti.
Ifakara napajua. Napapenda pia. Nilikuwa Ulanga Mkurugenzi akasema wana mpango wa kuanzisha Ulanga FM. Ilishaanzishwa? Nakumbuka ilikuwa 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.