Search results

  1. S

    Mapaka kufika Desemba, bei ya petroli itakuwa zaidi ya Tsh. 3000 kwa lita

    Acha woga, hii ni fursa ya kubuni vyanzo vipya vya nishati. Huwezi kusikia Mchina analalamikia issue kama hizi. Yeye atawauzia vi Moped kibao vinavyotumia betri, na vingine vitakuwa vya kuchajiwa kwa Solar, nyie endeleeni kulala tu. Mnawalipa maprofesa wa art hela ndefu wafanye utafiti wa...
  2. S

    Espionage & Diplomatic Blunder: KGB walipompa balozi wa Marekani zawadi iliyofichwa kifaa cha kunasia sauti (BUG)

    Kuacha kupokea haileti picha nzuri na wala sio ujanja. Mimi nawashauri mpokee kisha mtumbukize 'Baharini' au kama inawezekana zipelekwe Maabara.
  3. S

    Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

    Sina uhakika kama kweli mleta thread hana uelewa wa kutosha juu ya kile kinachosababisha taarifa iwe ya kuaminiwa au anao uelewa bali ameamua kujitoa akili katika hili jaribio la 'kutikisa kibiriti' cha kupima uwezekano wa kumvua Nassari ubunge. Kwa nini nasema hivyo? nilitarajia aone kasoro...
  4. S

    Serikali yapiga Marufuku gari zote za abiria kusafirisha vifurushi na barua

    Umeshindwa kuwasilisha mada kwa kichwa stahiki, kumbe tatizo nileseni tu? Kichwa cha habari kilipaswa kuwa: SERIKALI YAPIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI WA VIFURUSHI BILA LESENI
  5. S

    Model wa TZ Flaviana Matata ndani ya skendo nzito ya kuwemo katika jumba la xxx production Las Vegas

    Kama umeweza kulibaini hilo jumba na kubainisha kifanyikacho humo, basi utakuwa na uhakika na unachosema, mwizi kukamatwa na ...
  6. S

    Rais Magufuli kuzindua Flyover ya TAZARA. Yamaliza Foleni iliyokuwa ikisababisha hasara ya Tsh. Bilioni 400 kwa Mwezi

    Kama Kikwete angetenda haki na kuupa jina stahiki la Mkapa Stadium ule Uwanja mkuu wa Taifa, leo hii tungekuwa na kila sababu ya kudai Tazara Flyover iitwe Kikwete Flyover
  7. S

    Serikali ya Tanzania kufungia matumizi ya mitandao ya kijamii kwenye intaneti ya serikali

    Hili swala liko wazi sana, ni swala la kisera zaidi. Mwajiri yeyote duniani hatopendelea mtumishi wake atumie muda wa kazi kufanya mambo binafsi. Binafsi nilikasirika sana na kuchukia siku moja nilipoenda kulipa bill TTCL zamani fulani hivi, halafu nikakuta makarani wantumia muda wa kazi kunywa...
  8. S

    TANESCO wahukumiwa kuilipa IPTL Tshs Billion 700 ikiwemo Tshs Billion 306 zilizochotwa katika Account ya Escrow

    Kati ya aliyefunga na aliyewafungulia wahujumu Daniel Yona na Basil Mramba nani zaidi?
  9. S

    Mahakama Kuu yazizuia Kanuni za Maudhui Mtandaoni kutumika hadi Mahakama itoe uamuzi

    Well said! So, 200,000/ vs 2,139,000/= (930 x2300) ni kielelezo tosha kwa wenye macho kujua kile hasa kinachotafutwa. Hii haiwahusu wale waliopofushwa macho!
  10. S

    Kinachoendelea Zimbabwe: Nchi yawekwa chini ya Jeshi, Mugabe kung'olewa?!

    Hauko peke yako, kuna mtu mmoja pale ana mawazo kama ya kwako.
  11. S

    Elizabeth Michael(Lulu) akutwa na hatia ya kuua bila kukusudia, ahukumiwa kwenda jela miaka 2

    Mimi naomba kuuliza, hivi ile sheria inayoruhusu mtoto wa miaka 14 kuolewa ilishabadilishwa au bado?
  12. S

    Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ajivua Ubunge; ajitoa CCM na kuomba kujiunga CHADEMA

    Weka kabisa orodha kamili ya hao ''wezi' waliopo kwenu ambao hutaki kuwadai sasa hivi lakini unasubiri kuja kuwadai siku wakitangaza kujitoa kwenu.
  13. S

    UKONGA MOMBASA, DAR: Polisi watembeza kichapo kwa raia. Yadaiwa kuna askari kauawa na raia

    jIBU NI RAHISI SANA! Watu wapimwe akili kabla ya kukabidhiwa wajibu uwao wowote ule. Huu ni ufumbuzi wa kudumu, ufumbuzi wa dharura jaza wewe ...
  14. S

    UKONGA MOMBASA, DAR: Polisi watembeza kichapo kwa raia. Yadaiwa kuna askari kauawa na raia

    Washamba walikuwepo siku zote. Tofauti ni kuwa sasa washamba wamepata mtetezi. Hivyo ushamba huu utausikia sana , muda wote ambao mtetezi wa washamba bado amekabidhiwa rungu.
  15. S

    Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

    Mwanaume (Barrick) anapotaka kulala na demu (hasa wa kiafrika), huweza kuahidi chochote hata kumnunulia mlima Kilimanjaro. Demu hukenyua meno lakini wenye akili huwa wanajua mwisho wa hadithi tangu mwanzo. Hata wanasiasa wenu wamewahi kuwaambia kuwa yale yalikuwa maneno ya kampeni tu, lakini...
  16. S

    TRA: Tumekusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.65 kuanzia Julai hadi Septemba 2017(Robo ya kwanza mwaka wa fedha 2017/18)

    Kwa sababu hizi hela tumetumia kumpima mkojo Manji kwenye kesi ya madawa, au huelewi?
Back
Top Bottom