Pole sana,utayashinda majaribu..mifano ipo mingi unaweza kulazimisha kuishi na huyo jamaa mwisho wa siku akakudhuru
Mi nasema umechukua uamuzi wa Busara na ni mfano wa kuigwa!sasa milango ya mwanaume bora ipo karibu.
just relax!
sio huo wewe,mbona unataka kuchanganya mambo?subilia jpili kwenye diary ya jide na utaona maana ya wk hii alianza na iliporekodiwa na bado kuipa jina!kweli wapambe wana nguvu!
kifupi best yangu achana na Warumi atakupotezea mudi na hajui anachokifanya...kumbe anawajua mpaka akina wancy wale wanaohusika na malipo kwa jide..akaahidi eti aarudi na majibu kimyaaaaaaaaaaaa!mpaka mambo yamekuwa mengine (nimejua ivyo baada ya yeye kunisahisha eti sio hancy ni wancy na ni...
dhumuni kuu ilikuwa muonekano wa video na ile hadhi ya wahusika ikiwepo unadhifu suti na mashati meupe..moja BAHARI BEACH nyumbani kwa dada mmoja na pili times FM ....USIKU...MASAAA 8...BADA YA HAPO MALIPO,YAANI NIACHE SHUGHULI ZANGU ZA KILA SIKU nikazunguke tu sehemu zote?yeye iyo video...
Bado na kesho ungekuwa na ndugu wa karibu au kijana muda wa mapema ivi asogee pale nyumbani lounge akajionee sinema ya bure....si wote wenye kupuuzia mambo!...mana kama ni kufuatwa amefuatwa unadhani unamuona,,,ni yule kijana wake wancy na dereva saidi anayeonekana na kujibu na akina joshua...
MKUU sijakupatapata vizuri...si kazi ilishaisha ndo mapatano na yule kuzila pesa?..sasa kama walipanga waseme amezila ili watu waogope kumdai basi mambo hayatakuwa ivyo na lazima watu sasa wamejua which is which...malipo huwa kuna makisio ikiwa ni makabaliano..sasa ulitaka wewe iwe ts ngapi...
ukweli huwa kuna mapatano sasa linapokuja suala la malipo mtu anasahau kwamba ipo siku atawaitaji kama si kwa walewale ni kwa wengine...ivi kwa maisha ya leo mtu unatengeneza video kali na nzuri itakayokuingizia kipato kizuri eti wale waliomuunga mkono uwaambie eti mtajulikana na mtaanza kuitwa...
ndiyo labda akatae....hii inajumlisha vitu vyote na kwa siku mbili.....ila kesho wenzangu wamepanga mengi ninyi kategeni tu pale langoni watu wataaibika..mi nimeona nisikilizie pembeni ila wengine hawataki story eti tuache tu na mambo kama hayo...kama wanajua kutumia watu kwa manufaa yao basi za...
Hakuna haja ya kunidharau na ukweli ni kwamba hakuna hata mmoja aliyekata mauno na si fani yangu zaidi ya kuonekana kama watu mlio kwenye paty na kila mtu na kinywaji..hapa naongelea time wasting.kwa siku mbili na usiku wa manane tena sehemu tofauti halafu makubaliano...ivi wewe hujawai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.