CDM inastahili pongezi na a big pat mgongongoni, wamefanikiwa kushusha asilimia za Magamba toka 72% OCT 2010 to 50% 2011. Tena wakiwa na silaha zote za maangamizi tangu rais mstaafu, katibu mkuu mstaafu, waziri pendwa Magufuli na bado wameshindwa kupandisha %. 2015 Ushindi ni lazima
Inauma sana waTZ tunavyochotwa akili, tunapenda kufanywa wajinga. Hii ya laptop kwa kila mwalimu mh, lakini bado utashangaa wengi tutawapa a big yes mwisho wasiku, okt 31. Hapo ndo ujue waTZ hatujui tunachotaka, hebu tubadilishe sura za mjengoni basi kama hatuwezi kubadili uongozi wa juu, japo...
Mh! kuna wakati nilimsikia daktari mmoja akielezea kuhusu simu kulipuka zikipata unyevunyevu, hasa za kichina, sasa kwa suala hilo duh, sipati picha. Mungu tunusuru, mweh:mmph:
Hii habari inanichanganya. Kuna mahali nimesikia TAKUKURU inatajwa,. lakini sijasikia chochote kutoka kwao, ina maana nao wanashirikiana kutisha watu? Maana huyo mtu anadai walikwenda watu nyumbani kwake saa 12 asubuhi wakijitambulisha kuwa ni afisa wa TAKUKURU na MWANAJESHI ambae pia ni...
Jamani tutaponea wapi? Maisha yanatufanya tutafute beki 3 kumbe balaa, ukisema umchukue ndugu ndo kabisaaa maana na lawama juu. Boarding taabu tupu. Yote hii ni kumomonyoka kwa maadili kwa hali ya juu. Tuombe na tutubu sana.
ZITTO aliongea wakasema ni mambo ambayo hayapelekwi tu kijuujuu, WAFANYABIASHARA!!!! wameongea tu na JK amereact. SO IT MATTERS NI NANI KASEMA!!! Tutafika???
Ingekuwa Mza au Dar angesema "born in the wrong part of TZ" na ukiangalia the flow ya walichokuwa wanaimba hao vijana ni moja kwa moja Tanzania na Africa are the wrong parts of the world. Tukubali udhaifu.
Siasa kweli mchezo mchafu. Mnakumbuka alipokuwa CUF na madongo aliyokuwa anipiga CCM, leo yote yamekuwa lulu kwake, na kweli amebadilika hata taswira, AMENONA.
Jamani, Kuna kipindi cha njia panda CLOUDS FM hiyo hiyo. Dr. Seba alikuwa na binti wa miaka 10 ameharibiwa na babu mmoja wa huko Mwananyamala kama sikosei na juu ya hivyo kaambukizwa UKIMWI. Babu hakamatiki jalada lilikuwa Oysterbay lakini inavyoelekea Babu huyo mzito kiaina flani, maana kesi...
Kuelekea 2010 kuna kila aina ya mizengwe kunyong'onyeza wapambanaji dhidi ya ufisadi na mafisadi. Kubenea songa mbele, kaza buti, simamia unachokiamini. IKO SIKU ukweli utadhihiri, haki itatawala, mafisadi watagwaya.
Sio tu hayana akili, bali pia hayana maadili. Mtoto anamkataza baba kumuita mwanae kisa maji. Tanzania hatujafika huko, wasitake kutuharibia watoto. Wajipange watoe huduma inavyostahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.