Wapendwa wana JF, Nina shida nahitaji kupata msaada wa Jinsi ya Kulitatua.
Kuna Mtu Nilimkopesha pesa mwaka 2004 December na akaahidi kunilipa January 2005. Lakini Mpaka leo hajamaliza kunilipa hiyo pesa. Na mbaya zaidi mwaka jana 2008 October akaniandikia Cheque ili niweze kupata hiyo pesa...
Kang.... Hii deci haifanyi kama unavyoonyesha kwenye hiyo pyramid.....
Navyojua speed ya malipo pyramid inategemea watu wanavyojiunga katika hiyo deal. Na ukipata inakuwa imepita.... Kama ili upande ni watu 4 wakuchangie basi... Ukimaliza circle unatoka.... Kama unataka inabidi kuanza upya...
Ndiyo Maana nimesema Hii sio PONZI SCHEME.....
A Ponzi scheme is a fraudulent investment operation that pays returns tnvestors from their own money or money paid by subsequent investors rather than from any actual profit earned.
Kwa sababu ili mtu alipwe pesa aliyotakiwa kuvuna aitegeme na...
Ndiyo Maana nimesema Hii sio PONZI SCHEME.....
A Ponzi scheme is a fraudulent investment operation that pays returns tnvestors from their own money or money paid by subsequent investors rather than from any actual profit earned.
The Ponzi scheme usually offers returns that other investments...
Nimesoma msg kuhusu hii DECI,
Hii DECI haitumii PONZI kama watu wanavyowaza... kwa sababu toka imeanza hakuna mtu aliyekosa pesa yake... na ahilazimishi kutafuta mtu wa kudeposit ili mtu aweze kulipwa.
KWA UKWELI WATU WENGI WANATAKA KUJUA SIRI YA WANACHOKIFANYA KUPATA HIZO PESA... NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.