Hivi Mshana naweza kupata software za ku diagnosis magari hasa aina ya Toyota ili kujua tatizo la gari ili nikienda garage nimwelezi fundi nini cha kufanya sio aanze kukisisia tu na kama zipo zinauzwaje?
Habari naomba kujua kunawakati unapoendesha gari ukapishana na gari lingine dereva wa hill gari unalopishana nalo ANAKUWASHIA INDICATOR Ya upande wake hivi huwa anaashiria nini?
Mkuu naomba kujua kuna wanatoa thermostat kwenye magari yao wakusema inatumika kwa nchi za ulaya zenye baridi huku kwetu hazihitajiki kwakuwa kuna joto he in sahihi kufanya hivyo?
Mh. Mwakyembe usikubali kusaini mkataba visa ya pamoja ya jumuia ya EA kwani wakenya na wanyarwanda wanataka kutumia resource zetu ambazo wao hawana ili kuendeleza nchi zao. Rwanda hawana vivutio vya utalii ila wanang'ang'ania hiyo visa ya pamoja ili nchi yao inufaike kupitia rasilimali zetu.
Woman deplomacy ndo silaha kubwa ya kagame akijua wazi kuwa watz. Wanapenda ngono kwa wanawake wa kinyarwanda ambao viongozi wengi wamewaoa ndo maana anapata info zote za presidar wetu
Josephine Mushumbusi Slaa, `mke wa sasa wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa aliyeibuka naye na kuzunguka naye karibu nchi nzima wakati wa kampeni za uchaguzi Mkuu hivi sasa ni mjamzito refer habari leo.
Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4
MAONI YANGU KWA HABARI HIYO:rolleyes:
Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.