Search results

  1. I

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Whether he is sick or not I pray for him. Mkono wa Mungu umguse na ulinzi utamalaki na awe mzima kuanzia sasa kwa jina la Yesu.
  2. I

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Pole kwa yaliyokupata. Chunga mdomo wako hayo maneno yasije kuwapata mabinti zako.
  3. I

    Barabara ya Wazo-Madale

    Wanaofanya hizo kazi ni sisi tunaokaa huku huku, sasa msipotuangalia na hayo hayatafanikiwa
  4. I

    Barabara ya Wazo-Madale

    Serikali yetu pendwa chonde chonde tupia jicho kwa barabara hii ya Wazo-Madale. Tuliambiwa iko kwenye budget ya 2016/2017 sasa mwaka umeisha. Kweli wakazi wa huku tunapata shida ya usafiri maana hata daladala wanaogopa kuleta magari yao. Bajeti ya mwaka ujao msitusahau.
  5. I

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimelipia kuunganishiwa (three phase-Dar es Salaam) umeme toka tarehe 18/4/ 2017 mpaka leo sioni dalili yoyote. Siku 30 za kusubiri zinatoa mwanya kwa mtu kupita mlango mwingine. Badilikeni, punguza hizo siku. Kama mteja haitaji nguzo siku saba zinatosha kumpa umeme.
  6. I

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Kuamua kutumia cheti cha mtu mwingine ili atoboe kimaisha anaonyesha ni mpambanaji, sio mtu wakubweteka. Inawezekana mazingira yake ya kusoma hayakuwa mazuri kumwezesha kufaulu. Je hivyo vyuo vingine alifeli? Tatizo liko kwenye vita aliyoianzisha. Mwenyezi Mungu msaidie katika kazi hii.
  7. I

    Mnaopangisha nyumba Dar, tengenezeni mazingira ya vyoo vyenu

    Never underestimate the power of social media, Mh. Makonda alinisikia na sasa #Darmpya# inakuja.
  8. I

    Mnaopangisha nyumba Dar, tengenezeni mazingira ya vyoo vyenu

    Jamani tatizo la vyoo na bafu kwa hapa Dar es Salaam ni janga kubwa sana. Wenye nyumba wengi ni waroho wa pesa hata hawathamini maisha na afya za wapangaji wao. Unakuta mtu anapokea kodi ya laki moja kwa mwezi lakini kutenga kidogo ukatengeza choo kikawa na hadhi ya kutumiwa na binadamu unaona...
  9. I

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Inakera sana unaponunua kitu ukiomba risiti unaambiwa bado tunafuatilia EFD TRA. Nyie TRA kwani inachukua miaka mingapi kumpatia mtu hiyo machine. Mapato bado yanavuja sana wafanyabiashara wengi hawana hizo machine, wapeni bwana tutengeneze Tanzania.
  10. I

    Pata kuku kienyeji kwa bei nafuu

    Nauza Kuku kienyeji wenye uzito kati ya kilo 1.5 -2. kuna jogoo wachache na tetea wako 100. Bei ni sh. 15000 kwa kila mmoja. Tetea wameanza kutaga. Tuko Dar e salaam. Piga namba 0766302961 kwa maelezo zaidi.
  11. I

    Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

    I guess wewe ni darasa la saba. Msomi hawezi kuandika utumbo huu
  12. I

    Tunauza SPSS Statistics 20.0

    Sorry it wasn't my intention.
  13. I

    Tunauza SPSS Statistics 20.0

    ni PM namba yako nitakupigia Jtatu uje uchukue nipo UDSM
  14. I

    Tunauza SPSS Statistics 20.0

    Anayehitaji IBM SPSS 20 NI BURE TU ANIONE
  15. I

    Msaada: Mwanangu anaugua vipele kama vijipu, nini tatizo?

    Huo ugonjwa unaitwa impetigo, nenda pharmacy nunua Bactroban cream mpake mara mbili kwa siku baada ya kumwogesha.
  16. I

    Airtel ni wezi?

    Sio Airtel tu peke yao ambao ni wezi, hata VODACOM ni wezi tena wa mchana kweupe. Mtu unaunganishwa na mambo yao ya promotion za Jay bila kujua na unakatwa 300 kila meseji; unaweka hela kwenye simu usiponunua kifurushi baada ya dakika chache hela hakuna eti unakatwa za connection ya internet uwe...
  17. I

    Tatizo la Bundle la Internent kuisha haraka

    Pia unapokuwa hutumii net unaweza kuzima sehemu ya data
Back
Top Bottom