Mpaka kocha wa Flamengo kamzawadia Klopp jersey afu wewe mkazi wa mwanagati huko unakuja na pre match analysis ukiwa na mahaba mbele.... ukae ukijua klop is the world best manager for the year 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mzee nilikuwa nazungumzia utofauti wa kuweka kwenye hisa or kuweka fdr.. ni maramia ukaweka kwenye fdr kwa mtu anaetaka kuwekeza kuliko kuweka kwenye hisa kwa lengo la dividend
Daa aisee we jamaa mbishi sana utuulize tuliosoma hizo shule.. ni za kanisa katolic.. kama unabisha tena nenda pale msimbazi centre ukawaulize st mary's visiga sminRy ni ya mama rwakatare or ya kanisa katoliki..
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya...
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya inaitwa st mary mbalizi... kuna moja iko hapo pwani inaitwa st. Mary's pia au maarufu kama Visiga seminary
Ingia kwenye website hii hapa www.tanzaniaparks.go.tz utapata entry tarrifs zote kwa kila park na namna wanavyotoza kwa residents...non residents na expatriates
Sent from my SM-G355H using JamiiForums mobile app
Wakati fulani tunafanya review za CPA pale jijini kuna wadau wa hicho chuo tajwa walikuwa wanatutenga sie wa institutions zingine kwenye discussion. Mungu si athumani results zilivotoka hakurekodi hata mmoja... na mpaka tunamaliza CPA jamaa hàwajarudi tena... zaidi huwa wanabaki kuiponda hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.