Search results

  1. K

    Wanaume, haya mambo si ya kufanya

    ANAKULA KUNYWA NA KUVAA..........VYA BURE HUPENDA KUPEWA WANAUME KAMA MABINTIIIII
  2. K

    Tecno Boom J8 kwa Dar es Salaam inauzwa bei gani wadau?

    MR FUKARA NATAKA MPYA MWANANGU
  3. K

    Nahitaji elimu ya maxcom malipo na selcom malipo

    TECNO BOOM J8 INAUZWA BEI GAN KWA DARESALAM WADAU? MSAADA PLIZ.
  4. K

    Tecno Boom J8 kwa Dar es Salaam inauzwa bei gani wadau?

    Wadau nauliza bei ya cm tecni boom j8 inauzwa bei gan huko daslam ss wa mikoani shida tu tuko mbal. msaada pliz.
  5. K

    Riwaya: Oooh Roletha!

    Jaman rollendaaa bado kuendeleaaa..........
  6. K

    2000 Toyota Land Cruiser VX 100 Diesel for Sell

    Bei ya mwisho mkuu kutoka 35m ni ngp
  7. K

    Jamani eti naye anataka kunizalia mtoto

    jiongeze Mzee usilewe sifa za watoto kufanana.ukitia mimba tu utaisoma plate number.
  8. K

    Siwezi kula utumbo wa ng'ombe hata uniwekee bastola kichwani

    Da pole sana. Utumbo ndo mpango mzima. Uko dunia gani wewe
  9. K

    Natamani kugombea ubunge jimbo la kalambo! Nipitie chama gani?

    Nashukuru sana wadau.Nimepata pa kuanzia kwanza mm ni mwanaharakati machachali tangu utoton kwan dhuluma kwangu ni sawa na ugonjwa hatari kwa jinsi nisivyo penda. Nimepata kuwa miongon mwa watu tegemez UDOM kupambana na dhuluma kwene bumu namshukuru Mungu nilifanikiwa mm cipo kama baadhi walivo...
  10. K

    Natamani kugombea ubunge jimbo la kalambo! Nipitie chama gani?

    Ahsante Mkuu. Mbunge wa jimbo lile kwa sasa anaitwa ndgu Josephat Kandege. Jamaa pia kaenda shule lakin ameshindwa kuwaletea wananchi maendeleo na ni mtu mbinafsi sana. Maoni yenu wadau maana ni mda wa vijana sasa.
  11. K

    Natamani kugombea ubunge jimbo la kalambo! Nipitie chama gani?

    Wadau mi ni mkazi wa jimbo la kalambo na ni kijana umri wangu miaka 30. Nimemaliza shahada ya kwanza UDOM nilipata nafasi ya kuwa Wazir serikali ya wanafunzi. Sasa nawiwa kuingia kwenye siasa nikiomba kugombea ubunge jimbo la kalambo. Haja yangu kubwa ni kutaka kuwatetea wanyonge waliotelekezwa...
  12. K

    Vyuo vikuu vya serikali na changamoto zake.

    Mkuu ahsante sana nimekusoma vizuri zaid ya sana na nimekuelewa. Ahsante.
  13. K

    Vyuo vikuu vya serikali na changamoto zake.

    Wadau namshukuru Mungu Kuwa ni wazima. Kuna jambo moja ambalo ni changamoto kwa vyuo vikuu vya serikali.Hivi ni kwa nini huwa wanachelewa kutoa vyeti? Mfano Chuo cha Theofilo Kisanji (TEKU) wameshatoa tayari vyeti na Eckenford Tanga na sehemu nyingine but government institution bado tatizo ni...
  14. K

    Walimu tarajali watakiwa kuwa wazalendo watakapopangiwa ajira zao

    Nadhani anatakiwa kufanya hivo kwa mifano hasa kutoa some allowances kwa walimu hao ili kuwavutia zaid. Mambo ya kwenda huko hadi diwan wa kata std seven anamshushua shushua mwalimu tena graduate ni kudhalilisha taaluma za watu.
  15. K

    Naomba ushauri kuhusu ajira hii ya ualimu

    Pole sana Chukua za mbayuwayu changanya na za kwako. Kazi ya mtu aliyegraduate ni kutengeneza ajira ww unataka ushauri kulinda ajira badala ya kubuni uzalishe ajira pole sana mediocre teacher.
  16. K

    Naomba ushauri kuhusu ajira hii ya ualimu

    Pole sana Chukua za mbayuwayu changanya na za kwako. Kazi ya mtu aliyegraduate ni kutengeneza ajira ww unataka ushauri.
  17. K

    Naomba ushauri kuhusu ajira hii ya ualimu

    Pole sana Chukua za kwako changanya na za kwako. Kazi ya mtu aliyegraduate ni kutengeneza ajira ww unataka ushauri.
  18. K

    Sera mpya ya elimu

    Du kweli hiyo ya kudondoka nyoka balaa. But hiyo sera cjaisoma maana kwa maelezo yake ni kwamba iko hatua za mwisho kukamilika. Ila jambo moja la msingi ni kama ulivosema kwamba changamoto kubwa ni kuhusu utekelezaji maana nyingi zinawekwa kabatini tu.
  19. K

    Sera mpya ya elimu

    Nimemsikiliza Mh. Mkuu wa Kaya marudio ya hotuba yake ya mwisho wa mwaka akisema kwamba serikali imeandaa Sera mpya itakayowezesha elimu ya sasa kuendana na hali ya dunia ya leo. Je utekelezwaji wake kweli unaweza leta tija kwa watanzania? Maana bado cielewi BIG RESULT NOW katka elimu kama...
Back
Top Bottom