Mwanakijiji;Tatizo ni vile tulivyosimuliwa/tulivyosikia/tulivyosoma.Kwa maoni yangu naona kama Historia yetu haiko balanced,naona kama imem favor sana Nyerere.Namkubali sana Nyerere lakini pia nina hamu ya kujua mazuri na mabaya ya viongozi waliofanya nae kazi kwa karibu kama Kambona;kutoka kwa...
Nakubaliana nawe mkuu.Ingekuwa jambo jema sana kama Kambona angetuachia walau maandiko fulani kuhusu maono,fikra zake na tofauti zake na Nyerere.Binafsi naona hili limefanya pia ugumu wa upatikanaji wa ukweli hasa juu ya tofauti zake na Nyerere/kisa cha yeye kukimbia Tanzania.Ingekuwa raha sana...
Kambona was a thinker in his own right.Ukimsoma vizuri anaonekana kuwa mtu wa kujiamini sana.Alikuwa mkweli na muwazi na siyo muoga,mtu wa kushikiwa akili.Kiongozi mkubwa kama yeye anafikia kuruhusu wananchi wamkosoe hadharani,basi inawezekana pia alikuwa muadilifu(hakukimbia na sanduku la...
This 'babu' needs to be prosecuted in a court of law for the crimes he is committing.People are so irrational,they use faith to defend their mediocrity and wickedness.U dont need to have a medical degree to know that a loliondo cure is a plain lie.
These chronic diseases/syndromes are...
Ur correct.This is so cheap campaigning strategy.If the poster is aspirant himself,then he is not fit for the post and actually he needs to grow up intellectually before indulging into politics in the first place
Nafasi aliyopewa Nape huko CCM hata angepewa mtu makini vipi,angepwaya tu na kuonekana kituko.Nape angekuwa smart angeikataa hiyo post na ku concentrate kwenye ukuu wake wa wilaya
Ushauri mzuri sana huu kwa Habibu.Mkuu kaza buti shuleni kwanza u graduate walau,siasa utaikuta.Sidhani kama utasema hii ni good timing kwako manake naona kuna wagombea wako compitent sana huko
kwa jinsi unavyoelewa wewe,usomi maana yake nini?tuanzie hapo..manake isije ikawa mawazo yaleyale ya mtu kujua kiingereza ndiyo usomi na asipokijua basi hawezi kuwa msomi!
Nilianza kusikia Nchimbi akiitwa Dr.tangia akiwa Mwenyekiti wa Taifa wa Umoja wa Vijana wa CCM then Mkuu wa Wilaya ya Bunda.Siku zile wakati mambo ya mtandao hayakuwa maarufu sana kwa mtu kupata upande wa pili wa shilingi,nilikuwa namuona jamaa ni kama ka genius flani hivi na alini inspire...
Naona mmeshaanza kampeni zenu hapa JF..uchaguzi wenyewe ni lini?Kuna jamaa nilikuwa nae high school,amenitonya kuwa naye ni mmoja wa aspirants.I think he will beat the rest kwani ni mjenga hoja hodari sana,muadilifu na mchapakazi.
Cha msingi this time Chadema please let the democracy itself to...
[/B]
Mkuu,plagiarism got no excuse in all fields of study.Hata hao human doctors wakifanya research,wakaandika research article au medical journal labda wana suggest a new approach to the patient with heart failure au appropriate dose ya aspirin ku prevent heart attack/stroke,ni LAZIMA pamoja...
Dah kweli we have a long way to go..watu wanapenda kuonekana wasomi bila kutoka jasho,no wonder kuna ma PhD fake kibao bongo.Kuwa academician ni msoto na mateso.Sasa kina Shayo acheni upuuzi huu wa kuwakatisha tamaa vijana wanaojituma ili wawe true academicians.
Mkapa hakuwa na jinsi manake hakuwa tena na uwezo wa kuzuia nguvu ya mtandao wa Kikwete.Kina Lowasa walishamkalia kooni!Na Mkapa aliicheza vizuri sana karata yake kumpisha Kikwete,vinginevyo naye angekuwa kama Mangula sasa,au angeishia pabaya zaidi.
Watanzania siku hizo,ilikuwa hawaambiwi lolote...
Huyu Mzee can be even worse than Makamba.Hawezi kukisaidia sana CCM kwa hapa kilipofikia.Niliona interview yake mahali fulani,yuko rambling and overly verbose!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.