you dont sound like a tanzanian....maswali ayo ya ukabla sie hua hatuulizani...ila huwezi kua kwa facebook kama hujui kutumia internet na ikiwa huna access na internet na zaidi ikiwa hauna interest na facebooking meeen....watu hawaingii kwa facebook kwa sababu ni wa kabila fulani....na zaidi...
naaangalia sana muviz na za kibongo pia naangalia...ukizungumzia muvi za kibongo unazungumzia muvi za kiafrika...muvi mara nyingi huakisi maisha halisi ya watu wa jamii husika...wazungu jamii zao kwa upana wako busy na mambo ya maendeleo ya sayansi na teknolojia...muvi zao utaona zina-reflect...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.