Ndugu zangu mnakumbuka mwl mkuu Jeradi.ebwana huyu mwalimu alikuwa mkali balaa.anakuinamisha uku ukishika maskio nakupigwa viboko vya ajabu.huyu mwalimu alikuwa hachagui aina ya fimbo hata mpini wa jembe anakutandika nao.nakumbuka siku moja nilifanya kosa yakupiga kelele.nilikuwa mimi,Gilbert na...
Nyumba zipo kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha daladala,ni nyumba mbili ambazo hazijawahi kupangisha kwa maana nyengine ni mpya kabisa.
1.Nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu,chumba kimoja master,public toilet and bath room,kitchen,store,sitting room and dining room,vibaraza...
Napata shida kuamini kamakweli watanzani waliowengi wanajua umuhimu wa hii mtandao ya kijamii.nikimaanisha faida au hasara ya hii mitandao,je ni topic zipi za kuchangia na kutochangia,je wengi tunachangia kwania ya kujenga au ushabiki na ubinafsi au kupoteza muda ili siku isongembele.je...
nyumba zipo kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha daladala.
nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu kimoja ni selfu,kuna public toilet na bath room,kitchen,store,sitting room na dining room,kuna vibaraza viwili mbele na nyuma kama zinavyoonekana kwenye picha.
Nyumba ya pili ina vyumba...
Nyumba zipo kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha daladala,ni nyumba mbili ambazo hazijawahi kupangisha kwa maana nyengine ni mpya kabisa.
1.Nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu,chumba kimoja master,public toilet and bath room,kitchen,store,sitting room and dining room,vibaraza...
APARTMENTS zinapangishwa maeneo ya kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha dala dala.
hakuna dalali utawasiliana moja kwa moja na mwenyenyumba.
1. Vyumba viwili kimoja master,sitting room,dining room,kitchen,public toilet and bath = 250,000
2. Vyumba vitatu kimoja master,sitting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.