Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa na Master.
Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja.
Wapangaji wasiwe wengi (8+).
Kuwe na uzio/fensi...
2013 nilikuwa na carry ya Engineering Mathematics. Nilipoenda kufanya hiyo carry nikakuta IMEKAZA BALAA. Nikakusanya nikafanya maswali mawili(2) nikakusanya hata dakika 30 hazikuisha. Nikatoka hapo nikanyooka kwa lecturer nikamwambia haya ni maisha yangu mzee muajiri anasubiri cheti nipeleke...
Naendeleza huu uzi.
Web development
Kama unataka kuwa web developer au ni web developer vifuatavyo ni vitu vya msingi kuvijua HTML, CSS hizi ni lugha za uwasilishaji(presentation) ni lazima kuzijua haijalishi utatumia lugha gani kufanyia processing/handle requests na kuproduce appropriate...
Habari zenu,
Je, kwa bahati nzuri nani anayo sauti ya Sokoine akitangaza sheria ya nguvu kazi ya 1983 bungeni.
Nahitaji sauti ya hii hotuba. Kwa aliyekuwa nayo kuna kipooza koo.
Habari watu,
Kama kichwa kinavyojieleza, kwa walioko mikoani na Dar pia ninatoa huduma ya kuuza vifaa vya majiko ya gesi ya nje na yaliyotengenezwa hapa hapa.
Vifaa ni kama vifuatavyo:-
Burners
Pipes
Cocks
Low Pressure regulator
High Pressure regulator
na vinginevyo vingi
Karibu Gerezani...
Lesen ya biashara manispaa haijalishi kama umelipa tax clearance au la. Cha msingi ni uwe na TIN ya biashara.
Leseni ya Vyakula na biashara ndogo ndogo ni jumla ya Tshs. 71,000 Hii utaweza fanyia vyote ulivyovisema.
Uende manispaa na
Copy ya kadi ya mpiga kura/NIDA/cheti cha kuzaliwa
Copy ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.