Bi. Anna Makinda.
Bi. Anna Makinda (Pichani) amechaguliwa na Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi kwa kura 211 kwa ajili ya kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waliobwagwa katika kinyang'anyiro hicho cha akina mama watatu walioteuliwa na Kamati Kuu ya CCM hapo jana kuwania...
Tatizo la wengi wasiojuwa jinsi ya kumiliki mema ni KUJAA WIVU MWINGI usiokuwa na faida kwao, hujui huyu mtu aliumia kiwango gani mpaka kuja kumiliki Hammer mnachojuwa ni kubwabwaja bila mipaka, kuwa nalo yeye inakupunguzia nini wewe au unagain nini, nini hasa kikufanye mpaka umchunguze mtumishi...
inawezekana kwa mwanaume kukaa muda mrefu zaidi, mimi niliwahi kukaa zaidi ya miaka 3.5 hivyo sio ajabu inategemea akili yako umeizoeza vipi kuwaza hayo ya kumega,ukiwa mtu wa kuamsha hisia kila wakati huwezi kumudu na pia hasa kama humuogopi Mungu hutaweza hata mwezi ni tatizo
Rafiki yangu mtumishi mtikila!!!!!!!!!
INGEKUWA NI HEKIMA NA USTAARABU KAMA UNGEAMUA KUCHAGUA KATI YA SIASA NA UCHUNGAJI,LAKINI KWA KUTAKA KUTUMIKIA VYOTE NI LAZIMA UTAJIKUTA UMETUMIKIA UPANDE MMOJA NA MAFANIKIO HABA:
Bila shaka huyu shujaa hana uchu na madaraka ndiyo maaana hana haraka na hayo unayoyawaza ila anapokuwa kapewa jukumu hulitekeleza kwa ufanisi wa kutosha,na labda anaangalia wakati muafaka pia wa kuomba kugombea Urais,ILA NI MCHAPA KAZI SAHIHI,MIMI BINAFSI NAFURAHISHWA NA KUJITUMA KWAKE
Mimi nakubali kabisa hilo ni wazo la maana,ni lini na wapi hawa wahindi wkawaza mema kwa watanzania???????????tuulizane jamani mbona mnakuwa kama watu mnaoishi nao mbali!!!!AJABU KABISA,hawa hata kama ungekuwa mfanyakazi wao bado hakuna chochote utakachoneemeka toka kwao sembuse wengine wasio na...
Big up Hr Raila,
that is right decision for human been who living under the sun,
Songa mbele kwa uamnifu Bwana atakutetea kwa kuwa umekuwa miongoni mwa familia ya Mungu mwenyewe,na mamlaka ya nchi mungu anapenda kuwa chini ya mtu mwenye kumjuwa.
<.....KWA MUJIBU WA BIBLIA SUALA LA MATOLEO NI KATI YA MUUMINI NA MWENEYEZI MUNGU. ANAYEMUABUDU,NA SI SWALA LA ASKOFU WA AINA YA KAKOBE..LAKINI NDANI YA KANISA LAKE LA FULLGOSPEL MAMBO NI TOFAUTI.KAKOBE ANAFANYA BIASHARA CHAFU NA HARAMU NA ANAITAJIKA KUCHUNGUZWA ZAIDI YA DECI......NA HII NI...
" Aisee mathawe unakwenda msalani na kopo la maji... ina maana utakawia sana mpaka usikie kiuu...!?"
Hi hi hi hi hi hi hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
umenichekesana sana mpaka mbafu sinataka kufunjika
Ila mimi kubwa linaniuma ni kwa nini kuna tofauti kubwa sana kati ya mishahara ya wafanyakazi wa SMT na SMZ?
Hebu nisaidie kidogo rafiki kuna tofauti ipo katika mishahara ya Wazanzibari na Wa Tanganyika?
Inaumiza sana kwakweli,hii habari inagusa karibu kila mtu,hivi hii nchi inakuwaje lakini!!!!!! kwa sababu nyakati za mwalimu watu walikuwa hawachangii matibabu Hosp wala karo sec school kama leo lakini tulisoma na tukamailza vizuri pia warrant za kusafiri likizo tulikuwatunapewa, lakini leo...
unajua niliongea kwa hasira sana pale hata data muhimu zikawa zinaniponyoka
Msanii kwanini uwe na hasira rafiki yangu!!!!!!!!! una ndugu yeyote kati ya watuhumiwa wa ufisadi??? kama sio hivyo huyu mamam mbona anaongelea vitu vya msingi na vya kulenga maslahi ya taifa letu kwanini tuone kama...
unajua niliongea kwa hasira sana pale hata data muhimu zikawa zinaniponyoka
Msanii kwanini uwe na hasira rafiki yangu!!!!!!!!! una ndugu yeyote kati ya watuhumiwa wa ufisadi??? kama sio hivyo huyu mamam mbona anaongelea vitu vya msingi na vya kulenga maslahi ya taifa letu kwanini tuone kama...
kama hakuna data zozote za muhimu kwenye computer yako,tumia hiyo hiyo cd ya Windows Xp kuformat kabisa then install hiyo operating system (Windows Xp) kisha Lap top yako itakuwa safi kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.