Haya yalitabiriwa kwamba siku za mwisho zitakua za hatari sana,ndo haya sasa,mtajitaja tu,unajua Mungu hadhihakiwi?na wakati wenu wa kuwekwa wazi umefika.
Hivi katiba ya chadema inasemaje kuhusu kujiunga uanachama? Mfano nikijiunga leo naruhusiwa kugombea nafasi yoyote kwenye chama?vigezo vya mwanachama mpya vinasemaje?
Mbona unaweka mambo ya ndoa yako wazi? kila mtu akija kueleza mambo ya mwenzi wake patatosha hapa? Hakupenda iwe hivyo,je ingekuwa ni wewe una tatizo la uzazi nae akaanza kutangaza ungefurahia? i hope kwenye kiapo uliahidi kwa shida na raha utakua nae,kumbuka kiapo cha ndoa yenu.
We acha uongo,juzi tu zilipotoka ajira za ualimu kuna mtu kapangwa huko,analalamika sana hata hakufai,leo unasema walimu wakipangwa huko hufurahia mmhh
Ilikua ni lazima akajifungulie kwenu? kwa nini asingebaki kwake akajifungulia hapo? Wakati mwingine watu muwe mnawaza,hivi nikikwambia wewe na mama yako mnamnyanyasa huyo dada utakataa? kwa nini usikilize upande mmoja,kaa na mama yako pamoja na mkeo muongee muone shida iko wapi,mama zenu huwa...
Mhh hizi habari za leopard sasa mmhh,mbona malalamiko hayakuwepo mlipokuwa kazini? Mleta mada samahani kama ntakukwaza,hivi huyu uliyesema kuwa alitukanwa huoni kuwa umemdhalilisha huku mtandaoni?Je ingekuwa ni wewe mtu ameleta habari zako huku ungejisikiaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.