Rudi tu usichoke! Ukishaweka ile verification code ya RITA utaona jina kamili la muhusika limetokea kwa chini hapo ujue tayari unaweza kuendelea na hatua nyingine.
Sijajua kama kuna room ya kuweka supporting document. Ukisha upload signed appeal form hakuna sehemu ya pili ili uweze kuweka hiyo document. Mie imenitokea hivyo.
Wadau!
Naomba wenye uzoefu waniambie kama itawezekana mtoto kupokelewa Chuo Kikuu mwaka wa Kwanza akiwa hana Cheti cha Matokeo (Results Slip).
Karibuni,
Pigangoma
Wadau salaam!
Hivi karibuni nimehitaji kupatiwa Chti cha matokeo ya Kidato cha Sita kutoka kwenye shule ambayo mtoto wangu amemaliza.
Cha kushangaza nikimwambia Mkuu wa shule anipatie cheti hicho akagoma na kuniambia lazima aje mtoto ndio ampatie licha ya muonesha vielelezo kama kitambulisho...
Kwa sasa unapaswa kujaza fomu online sizani kama wanapokea za kujazwa manual! Tembelea website ya bodi ya mikopo Tanzania ili ujisajili na kuanza kujaza fomu huku ukipambana na changamoto za kimtandao!
Wanajamvi Heri ya Pasaka!
Nimekuwa nikifuatilia kila panapotakiwa kutolewa taarifa yenye maslahi kwa nchi yetu pendwa Tanzania panatanguliwa na taarifa zenye taharuki na mshtuko.
Hivi karibuni kumetokea taarifa ya takwimu za Ushoga na Usagaji zilizosomwa mbele ya viongozi wa ndini...
Alitubu wapi? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Bora hata mara mia Mzee Ben alitubu kwa kuandika kwenye Kitabu pia mbele ya watu wakati wa uzinduzi wa Kitabu! Ila Jiwe hadi anakata Roho wapambe wake hawakuamini kama jamaa anadanja! [emoji13] [emoji13] [emoji13]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.