Du ze mkwawa ilikua poa makanyagio wali unakula kidogo tumbo linajaa ma hamira ya mzee chuwa ila palikua panatutoa sana tuliokua hatuwezi enda canteen.
Nakumbuka siku ya concert watu walikua wanajiandaa kama una demu lazima ulipe siti mbili mkae karibu.
Wahuni tulikua tunaenda lamba viloba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.