Tunaheshimu mawazo ya kila mtu lakini namuunga mkono kwamba hii thread inalenga kuwawafanya wana JF waache kuchangia hoja za msingi Maoni yangu hoja kama hizo zisiwapotezee muda tusonge mbele kwa yaliyo ya msingi zaidi.
Lakini ni vyena tukapambana na hao vinara wa juu wa ufisadi na kuweza kuelimishana hadi mitaani kuwa ufisad ni matumizi mabaya ya rasilimali na jasho letu vinavyotumika vibaya na wachache wanaodhani sisi wengine ni mambumbu then tujipange kuchague Viongozi watakao tusaport. Na watakao kuwa ma...
Kama mambo ndiyo haya Mafisadi wana mtandao wa kutisha sana, kama kawaida ya wanasiasa wakitaka kupoteza ushahidi wa hoja zinazo wabana wanaanzisha hoja tofauti. Huu ni mwaka wa kupambana na ufisadi kivitendo na kuwaumbua. Wembe uleule wana jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.