Takwimu za serikali ya Tanzania mimi huwa siziamini sana,nyingi za kubumba,nadhani ata World bank na IMF kipindi fulani walishatilia shaka taarifa za kiuchumi za Tanzania.
Kwa mfano sasa hivi wanakwambia mfumuko wa bei ni zaidi ya 3% lakini ukija kwa street mambo ni tofauti sana!
Uku kwetu wapinzani wana ibembeleza CCM na serikali yake iandike katiba mpya!!
Yaani badala ya kuhamasisha Wananchi kiikataa CCM ili kuchagiza Mapinduzi ya kisiasa ili baadaye CCM iking'oka ndipo tuandike upya katiba ya nchi yetu.
Yaani ni sawa na kumbembeleza shetani akubali kuacha kitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.