Wadau,mtoto wangu ana miezi 6 kasoro hvi,week iliyopta tulienda kumpima kliniki,ana kilo 9.5....nesi akasema uzito huo ni mkubwa sana ulilinganisha na umri wake.
naomba mniambie inasababishwa na nin? Nin athar zake? Na nifanyaje kuondkana na tatizo hilo?
chakula ananyonya maziwa ya mama tu
Wadau naomba msaada,nafanyaje niweze kuona full screen tbc1 kwenye kisimbusi cha azam tv? Natanguliza shukrani....unaweza kuni pm au whatsap 0753 380 229
Kila siku mazungumzo,hakuna utekelezaji,hcho mbona hasemi nini kiliamliwa kwa kila hoja,zaid kuunda mabaraza ya wafanyakazi ambayo kwangu mimi bdo sion impact ya moja kwa moja kwa wafanyakazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.