Habari,
Ndugu zangu TAMISEMI habari zenu!
Tunapenda kujua kwanini mfumo wa usajili wa leseni za biashara (TAUSI) haufanyi kazi tangu wiki iliyopita kwanini? Lini mfumo huu utarudi na kuanza kufanya kazi tena?
Kuna watu wamekwama wanahitaji leseni kwaajiri ya maswala ya kibenk nk, sio kwaajili...
Hello habar wadau, naomba kujua ni shule zipi za olevel zenye boarding iwe ya Boys au mchanganyiko hususan Kwa mikoa ya Dodoma na morogoro.
Natanguliza shukran za dhati
Ndugu wadau.
Kuna Ajali imetokea jana ya basi linalofanya safari zake Dodoma Mtwara liitwalo Baraka classic.
Ajali imetokea katika kijiji kiitwacho Pandambili kipo katika wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.
Basi lilipinduka na kuua watu watatu akiwemo mama mmoja aliyekuwa na mtoto apataye umri wa...
Daah,MUNGU mkubwa nimetumia wiki mbili kusoma page zote na kumaliza,zaid nashukuru kwa elimu bora niliyoipata kutoka katika uzi huu
Big up Deception live long!
Wamechukua tena,tena 100% ni wao upande wapili hawataingia bungeni hao wachache waliopewa,
Kumbukumbu hazionyeshi kama kuna mbunge wa Kati ya hao watakao ingia kama alishawahi kuibana serikali kuhusu maslahi ya wafanyakazi hata kuhoji tu kuhusu watumishi wa umma!
Siioni sauti yoyote kuhusu...
No Manchester hall ulikuwa ni kwaajili ya lecturing upo umezungukwa na madarasa wa disco upo juu karibu na mabweni ya sheraton unaitwa mv bukoba
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikula maharage mabovu siku kadhaa,tatizo la maji ila issue kubwa ilikuwa ada kubwa ya kufanyia mock waliyoiweka walipokataa kupunguza ndio ikawa shida!
Wazee wa kudaunika mwena, mkalapa, madeko kupitia dochi vele
Nilikuwepo 2006-2008 walikuwa wananiita decay master bingwa wakuhifadhi viporo, kulikuwa na mwalimu mlevi balaa nimemsahau jina, juma kiwone namkumbuka,milinga alitokea mahiwa sec tulimuondoa kwa mgomo .
Bayport ni janga kubwa Sana hawa hawastahili kabisa kufanya Huduma za kifedha mimi hao sina hamu nao walichonitenda, natamani kungekuwa na kampeni ya Wafanyakazi nchi nzima ili kuwapiga vita, yaani kiufupi Bayport ni MATAPELI!
SERIKALI YA JPM YABORESHA MASLAHI YA WAFANYAKAZI.
Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu) Jenista Mhagama ameliambia bunge kuwa serikali ya awamu ya 5 imeboresha kwa kiasi kikubwa maslahi ya wafanyakazi nchini.
Amesema maslahi ya wafanyakazi yaliboreshwa...
Kuna shule ya secondary naidai pesa kidogo kutokana na kazi niliyowafanyia kwa makubaliano ya kulipwa kupitia fedha za elimu bure pindi zitakapoingizwa kama ulivyo utaratibu,
Makubaliano ilikuwa kulipwa kupitia pesa ya elimu bure ya mwezi October itakapoingizwa na serikali kwenye account yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.