Mwalimu hana uwezo wa kushinda kampeni, kama hana chanzo cha ziada cha kuwapa wapiga kura, kuanzia chama chake cha siasa na gharama za uchaguzi zilivyo..... Siasa ni uwekezaji sasa , hakuna cha kutumikia wananchi au nini
Umeongea hoja kabisa. Humu mitaandaoni kuna kutishana kusiko na sababu na mwingine anakupa ushauri kumbe kasikia tu mahali, hana uzoefu wowote.. Nilishwa kuhusu Nissan .. Ninayo mwaka wa nne, service naweza fanya nikikumbuka haizidi mara mbili kwa mwaka , na nadunda nayo vizuri.... Fuata gari ya...
Umeandika kitu halisi..... Watu wengi wanasahau utukufu wao, huwa unaambatanishwa na pale ulipo na ndio maana, swali unaambatana na nani ni la msingi sana....
Wewe naye chenga .. Umesema umeokoka lakini , ukataka kumla huyo binti kabla .. Yeye ndio kakataa... Mimi naona wewe ndio humfai huyo binti kwa kutamka unataka mzigo kabla ya ndoa, huku ukijua nyie ni walokole..Hata hivyo huyo binti au wewe wote mnafanya haraka mmejuana miezi miwili ! muda huo...
Kwa mfano hii fanaka... Unaweza kukata kwa miaka kumi.... Lakini kama umepata tatizo, kwa mfano ndani ya miaka mitatu au chini ya hapo, hawawezi kukurudishia ile michango uliyochangia kwa miaka miaka mitatu... Au ukisema labda ulikuwa unachangia sh..300,000 sasa nataka kuchangia chini ya kiwango...
Fanaka ina experience mbaya.. Kuna mtu namfahamu alikata fanaka product ya miaka kumi, ameenda kusurrender, mambo waliyomwambia ... Hawezi kupata hiyo hela yake aliyochangia kwa miezi 9
Nakumbuka nilikesha billicanas pambano la Tyson na Evander , nikiwa na manzi, tutoke hapo ndio twende kwenye mambo yetu ya msingi ya mahusiano, huko Msewe
JPM alikuwa kiongozi anaweza akasimamia jambo, akaonyesha njia ya kupita.... Matatizo ya kiuongozi tunayoyaona ni kukosekana kwa timu na kiongozi wa kuonyesha nini cha kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.