Not all mathematics have a direct way of solving, that is why we have method of "solving by inspection." Just trust your mind that 4 is the answer and it's the only answer.
Nafikiri mjadala wa ufisadi unaanza kukosa mwelekeo,kwani tunaanza kushindwa kutofautisha kati ya mkopo na wizi. Mkopaji anadaiwa na hata akipelekwa mahakamani hafungwi ila anaamulia kulipa deni kwa maelekezo ya mahakama, je, mwizi anadaiwa? na inapojulikana kuwa aliiba huwa anaamuliwa kulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.