Wasabato husoma sana Biblia, kwa hiyo mshauri huyo bwana akae chini asome biblia. Aitafakari vizuri ajue ni kitu gani kimemshawishi mke wake kuhamia sabato. Wako wengi walifanya hivyo. Hata kama walikuwa dini moja na mume wake, halafu mke amepata ujumbe wa wasabato ukamkolea itakuwa vigumu...
Wanawake wazuri wako wengi tu kwanini uhangaike na msaliti. kwanini uumize moyo wako bila sababu. Achana naye, tafuta wengine yeye aendelee na hao wanaommega, kwa sababu wameshakushinda uweze. Uking'ang'ania watamega hata akiwa mkeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.