Wafanyabiashara wengi walitoa michango yao kusuport CCM sasa ni zamu yao kurudisha fedha walizotoa! Mdhamini mkuu wa campain za ccm ni wewe mlalahoi. Nimepata taarifa kuwa mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 52,000/= kwa ndoo kubwa! Mkate wa supa loaf sasa ni 800 kwa eneo letu!
Mimi nimewachoka hawa watawala! mgao wa umeme ndo mikakati ya kufuja mali ya umma inaanza, inamaana hakuna wataalamu wanaoweza kupanga mipango ya muda mrefu TZ?
It is a shame to the Government!!!!
kiranga nafikiri ulizaliwa wakati watu wanabishana ndo maana unabisha kuhusu rushwa Tz! Leo nenda sehemu yeyote halafu waulize wananchi kama kuna haki inatendeka mahakamani! Siyo lazima uchemshe yai kwa dakika 5 ndipo ujue yai huiva kwa dakika 5.
Kiranga;1316148]Hili ndilo linalosababisha tukwame nchini mwetu, attitudes za kuogopa legal battles za miaka minne.
Hivi hujui hata kama hili litachukua miaka minne, lita set precedent kwa vizazi vyote vijavyo? Miaka minne ni nini kwa maelfu ya miaka yajayo? Tusiwe na mawazo ya kuangalia kesho...
Nakumbuka ni huyu mama aliyesababisha mawaziri watumie kodi ya mlala hoi kuzunguka nchi nzima kuelezea uzuri wa bajeti! ama kweli sikio la kuja halisikii dawa. Huu ni ushahidi tosha kuwa ccm hawafai kuongoza nchi! wanachofanya ni kupeana ulaji bila kujali maslahi ya nchi
Ukweli ni kwamba ccm ni dhalimu tena kupita kiasi, wabunge wao wanajali posho kuliko kutetea maslahi ya wapiga kura. naamini saa imefika ya ukombozi wa kweli chadema kaza buti mimi ninawasupport. Pia nashauri utaratibu wa michango ya hiari uendelee ili tuendelee kuichangia kwa ajili ya manufaa...
ndicho nilichokuwa nasubiri Dr atamke! ccm ni wezi tena wasiokuwa na huruma na wanachi wanaoteseka kwa sababu yao! wameshijilimbikizia mali ya umma. Dr Slaa mimi nakuunga mkono usikubaliane na wezi wa kura za watanzania
Inaonyesha wazi kuwa wapinzani bado wana beef wao kwa wao, na hii ni dalili mbaya sana kwa wapinzani. Chadema wapo kama 45 inamaanisha 45+8 ndo 53. Vyama vya upinzani vimesalitiana kiuwaziwazi!
Hongera sana Regia! Mnapaswa kuweka bidii ya kufanya kazi ili miaka mitano ijayo msiwe wahanga wa kukataliwa na wapiga kura kama vile ccm ilivyokataliwa karibu nchi nzima. Nawatakia heri katika ujenzi wa Taifa la Tanzania! Tanzania tajiri hapo hapo MASIKINI SANA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.