Mikutano ya hadhara sawa, agenda ya nchi je? Samia ametenda kinyume kwa kuwateua wapemba kuongoza mashirika ya umma yasiyokuwa kwenye mambo ya Muungano - TPDC na NHC- Chadema kimyaaaa! Chama kime-compromize hakieleweki! Salaam zao! Lissu naye amechomoka kimya kimya kurudi ulaya! These guys!
Njia za DART (Morocco/Mwenge DSM) kimya.
Mradi wa JNHPP (2025 badala ya June 2022).
SGR serikali iko kimya.
Barabara ya Kimara Kibaha 8 lanes kimya.
Daraja la Kigongo kimya.
Sijui iwapo cognitive competence ya Sasha iko sahihi. Miradi iligarimiwa na fedha za mikopo. Sawa! Lakini miradi haijakamilika na inaonekana serikali imeishiwa fedha za kukamilisha miradi hiyo wakati mikataba ya mikopo ya kugharimia miradi husika bado ni hai!
Sasa kwa nini miradi imesimama...
Huyo Rugambwa aliwkuwa proxy wa Katibu Mkuu Sefue. Ndiye aliyemuweka pale kwa kazi maalum (soma ku-facilitate wizi wa fedha za umma kupitia manunuzi ya umma). Kabla ya uchaguzi Mkuu 2020, akishirikiana na waziri Ummy Mwalimu, waliiba pesa kwa kisingizio cha kuchangia CCM. Ni kweli kuna mchango...
Duh, Wilbroad Slaha huyu! Mtu mwenyewe hajisimamii bali husimamiwa na wananwake anaowatongoza. Katika maisha yake yote Wilbroad Slaha hakuwahi kufanya uamuzi isipokuwa kwa chagizo za wanawake. Josephine Mushumbusi ni mwanamke aliyemrubuni Wilbroad Slaha kuhamia CCM baada ya kukosa nafasi ya...
Sijui kwa nini Watanzania mnaelezwa ila hamuelewi. Kuweka umeme nyumbani kwa mtu/mtumiaji ni uwekezaji wa TANESCO. Ni kuisaidia Tanesco kuwekeza kwenye biashara yake ya kuuza umeme; ili mtumiaji aweze kununua nishati na kuiingizia TANESCO mapato. Sasa hoja ya kusema tzs elfu 27 inatoka wapi...
Ninadhani wewe ndio mburura haswa. Chadema na Lissu walitaka kupata a negotiated position, siyo msamaha wa Rais ambao hauna justification. Chadema atatoka hapa triumphantly. Judge ataamua kuwa akina Mbowe hawana kesi ya kujibu; Jamhuri ilipeleka mashitaka fake mahakamani. Ushindi kwa Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.