Kuna mahali huwa napata mlo mara kwa Mara.
Nimezoeana na wahudumu wote.
Tip huwa nawaachia mara zote.
Ila kuna huyu mmoja akiwa zamu nakosa amani kabisa,
Huduma ni mbovu halafu anaminyia chenji yangu.
Nakwazika kwakua huduma ni mbovu halafu analazimisha kubaki na hela yangu.
Wenzake huwa...
Kwakweli haipendezi kabisa Mwanaume kukamatia boda boda.
Mwanamke haina tatizo kabisa.
Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka,
Bora bajaji au Tax kabisa.
Watu wanakosea Sana.
Kila mtoto anahaki ya kuzaliwa ndani ya familia yenye wazazi wote.
Kama hutaki kuzaa usifanye ngono na mtu ambaye huna mpango wa kuwa na future naye.
Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Huwa nachukia Sana simu za jumamosi na Ijumapili asubuhi.
Jumamosi ndio siku yangu ya mapumziko halafu mtu anakupigia analeta mambo yake.
Au anakupigia simu ijumapili, ukiwa Ibadani, simu inaita tu.
Ilimradi wakusumbue tu. Na simu kuzima huwezi.
Mji wa Dar huwa una maajabu yake mvua zikinyesha.
Ikipiga masaa mawili tu.
Waliopo majumbani hawatoki tena.
Shughuli zinasimama.
Foleni kubwa kila mahali.
Wapo wanaopata kazi ya kutoa maji ndani.
Boda boda na Bajaji wananeemeka.
Binafsi namshauri Mh. Rais, abakie na miaka iliyopo kwenye katiba, ni kweli anafanya vizuri mno, ila aangalie asije haribu kila jema alilolifanya, huo ni mtego, Mh. Rais Shtuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.