Search results

  1. M

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    Kwa mara ya kwanza nimejisikia huzuni kupita kiasi baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Naona ni kama bado tuko kwenye ukoloni fulani vile na wenye koloni lao wameapa kutoliachia huru. Ee Mungu tusaidie.
  2. M

    Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

    Nimepitia, iko vizuri. Hope nita invest huko siku za baadae Mungu akipenda. Ila return yake ni ndogo vile iko na low risk....the higher the risk the higher the return. Kama ulivyosema inafaa kwa watu waliopata pesa za mkupuo kama pension au wenye hela nyingi zilizo iddle. Thanks for sharing.
  3. M

    Mbowe na tafakuri zake...

    Mtafukuwa mengi ya nyuma, ila kwa sasa Lowasa ndiyo habari ya Mujini.
  4. M

    Prof. Lipumba anavyodhalilishwa

    Kajiabisha mwenyewe, Ukawa wakishika hatamu za uongozi wa nchi sijui ataweka wapi sura yake.
  5. M

    Ushauri wa bure kwa Masoud Kipanya

    Kipanya yuko sahihi....hii issue ndiyo iko hot kwa sasa.
  6. M

    CUF na NCCR kupasuka Vipande

    Kama Lowasa ni mchafu,kwa nini PCCB ilimsafisha na hakushtakiwa kipindi chote hicho alichokuwa CCM? Safari hii mmeshikwa pabaya.
  7. M

    Mbunge bibi miaka 60, aolewa na kijana wa miaka 26

    Hapana, Inaonesha Mbunge ndiyo aliyetongoza.
  8. M

    Msimamo wangu: Unataka nikusomeshe nizalie kwanza mtoto ndo nikupeleke shule full stop

    Bongo ipo ila haijabadilishwa tangu mwaka 47. Unaweza kulipa kiasi chochote ili mradi kisiwe chini ta TZS 100 kwa motto mmoja. Kulipa zaidi ni maelewano tu.
  9. M

    Msimamo wangu: Unataka nikusomeshe nizalie kwanza mtoto ndo nikupeleke shule full stop

    Hapana, Zisingetajirika bali zingefilisika sana kwa kulipa claims nyingi tena kubwa kubwa.
  10. M

    SIYO KILA MABADILIKO YANA FAIDA - Nape

    Hapa ni either serikali 1 au 3. Tofauti na hapo muungano na ufe. Nape tangu lini ikawa na uchungu na nchi hii? Eti gharama za uendeshaji, mbona huzitaji? Unadhani kila kitu ni propaganda?
  11. M

    Selikali mmekopa Stanbic sasa wanatukomesha

    Hawa Stanbic hata ukichukua mkopo kwao wanaongeza ongeza riba kila mwezi kisa eti inflation. Ni wezi sana, napigana nipate fungu fasta nikalipe deni lao kwa mkupuo nifunge na account kabisa.
  12. M

    Maajabu ya mtoto aliyeteswa na wazazi wake mbeya na kufungiwa ndani miaka 2....!!

    Usijaji hivyo. Je kama mwanamke aliyezaa naye (mke )ndiyo alimwacha mumewe?
  13. M

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Sasa kama uko hapo hapo Ifakara umeshindwaje kufanya quick analysis ya usalama katika magodown, gharama nyinginezo na hata kujua njia gani utumie kwa ajili ya kupunguza cost za ununuzi, kwa mfano kufata mpunga mashambani badala ya kusubiri huo wa hapo kibaoni. Shughulisha kichwa chako mkuu. Kwa...
  14. M

    Kwanini Rais hakosi 'udini' kwenye hotuba zake?

    Yeye mwenyewe ni mdini. Alikuwa anajikanyagakanyaga sana kwenye ile hotuba yake.
  15. M

    Kikwete unatukera na Kampuni ya STRABAG, inatutia Umasikini... Magufuli kimyaaa!

    ni bora zingejengwa fly overs kuepusha foleni kwani nyingi zinatokana na kusubiriana kwene mataa kuliko hizi za mabasi yaendayo kazo. Sidhani kama zitapunguza foleni au haya mabasi yatapita hata zikiwaka taa nyekundu?
  16. M

    John Mnyika na Sakata La Maji Ubungo, Waziri Aanza Kuwajibika

    Na huku kwetu Kimara Bonyokwa lini?
Back
Top Bottom