Wakuu,
Baada ya kushuhudia matukio ya wiki chache zilizopita kama vile Mrema wa TLP kuhudhuria mkutano wa CCM an CHADEMA kupokea kwa mikono miwili msaada wa fedha kutoka kwa mfanyabiashara Sabodo ambaye ni mwanachama "damu" wa CCM, nimegundua kwamba vyama vyetu vya siasa ni usanii mtupu.
Pia...
Kwa hili la bidhaa feki na zenye ubora hafifu, everyone must play their part.
Waziri wa Viwanda na Biashara: aelimishe umma juu ya athari za kutumia bidhaa feki na zenye ubora hafifu. Pia waweke mikakati madhubuti ya kupambana na waagizaji wa hizi bidhaa za ubora mdogo.
Maofisa wa vyombo...
Solution ni kuukubali mfumo wa rushwa na kuuhalalisha. Watanzania wote tukiwa walarushwa basi rushwa itakosa mvuto na kufa kifo cha mende. Uadilifu sasa utachukua nafasi yake.
Hebu fikiria tu scenario ambapo kila mtanzania ni mlarushwa. Fikiria nchi ambamo wanunuzi wote wanatembea na pesa feki...
Hii mbinu ya kunyima wanaume unyumba ilibuniwa India miaka mingi sana. Kuna wanawake wa kihindi waligoma kuwapa waume zao unyumba ili kuwashinikiza waache kupigana vita. Walifanikiwa.
Wanawake wa Kenya nadhani ndo walikua wakwanza kuitumia hii mbinu kama silaha ya kisiasa miaka michache tu...
Rev,
Maneno yako ni kweli kabisa.
Lakini mimi naona mambo yanabadilika japo taratibu. Kadri idadi ya watanzania inavyozidi kuongezeka na utandawazi unazidi kushika kasi, Watanzania tunaanza kuwa makini. Pamoja na kua CCM itabaki madarakani, lakini lazima itabadilika. Wale Watanzania...
Safi sana Mwanakijiji.
Hii piece yako imeamsha hisia kali sana ndani yangu ambazo zimenifanya niamue kuchukua hatua. Kwa kuanzia nataka ikifika Oktoba nichague chama na viongozi ambao hawata "assault" demokrasia yetu.
Kama kuna namna tutaweza (wewe, mimi na wengine walioguswa na makala yako)...
Kaulimbiu ni maneno tu. Kama yana busara tuyafanyie kazi. Kama hayana tuyapuuze tu.
Lakini kaulimbiu peke yake haiwezi kutuletea uhuru wa kweli na maendeleo. Wala kuiondoa CCM madarakani hakuta leta mabadiliko (Si Kenya waliiondoa KANU......). Kutimua mafisadi na kutaifisha mali zao sio...
Mkuu, endelea tu kuchoka maana siku wakiwa hawapo pale, utakufa.
Mimi nawaaminia hawa jamaa. Wanajua wanachokifanya. Ukitaka kutesti zali hebu jaribu tu kupita yale makutano ya Afrika Sana pale Sinza mida ya saa 1 jioni. Halafu fikiria Ubungo itakuaje.
Maoni yangu juu ya makala ya Mbwambo:
1. Caucasians ni binadamu kama sisi. Kuna mazuri yao tunaweza kujifunza na mapungufu yao tunayopaswa kuepuka. Vilevile kuna mazuri yetu sisi Negroids na non-caucasians wengine ambayo Caucasians wanaweza wakaiga.
2. Kila binadamu awe na haki na uhuru wa...
Kama kila mtu hawezi kujishugulisha na dini yake mwenyewe, hizi dini zipigwe marufuku nchini mpaka pale tutakapo pata akili za kuelewa malengo ya hizi dini.
As a Tanzanian I am not bothered by any derogatory utterences coming from Kenyan bloggers attempting to belittle us.
India and China have made huge advances in science and technology but because the benefits trickle to a tiny minority of their populations, probably less than one percent, they...
Ni kweli huwezi pata maendeleo kwasababu tu rais wa jamhuri ana dini inayofanana na yakwako. Kwa Tanzania hii ya leo, ukitaka kuendelea itabidi uwe fisadi, au mwekezaji, au beberu au kwa uhakika zaidi vyote vitatu!!
Good idea Mwanakijiji. Unfortunately it wont work because almost everybody in our country is corrupt!! The ill-gotten proceeds of the "Grand-Corrupt" trickle down to the ordinary wananchi. Therefore, corruption is the lifeblood of our country.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.