Kungekuwa na demokrasia ungeweza kuamua unamtaka kiongozi wa aina gani. Lakini bahati mbaya CCM italeta kiongozi wanayemtaka wao. Kama wewe ni mwanachama wa CCM, ni bora upiganie katiba mpya inayompa mwananchi nguvu ya kuchagua viongozi unaowaona wataweza kuipeleka nchi mahali pazuri zaidi...
CCM NDIO ILIYOWAKOMBOA MABABU ZETU TOKA UTUMWANI
Waasisi wa CCM ambayo zamani ilikua ikijulikana kama TANU ndio waliolipatia Uhuru Taifa hili kutoka kwenye makucha ya wakoloni,
kijana wa leo unapaswa kutambua historia hii kwmba bila ya CCM/TANU Uhuru usingepatikana ,waasisi wa CCM wakiongozwa...
Uhuru wa habari na vyombo vya habari haumaanishi uhuru wa kusambaza habari za uongo. Ni haki ya kila raia kupata habari sahihi zitakazomwezesha kushiriki vyema mambo mbalimbali ya kisiasa na kijamii kwa ustawi wa jamii husika.
Wanaokuja na visheria vya kudhibiti na kuzuia uhuru wa habari na wa...
CCM ilishakufa siku nyingi. Udikteta unaweza kujivika chama chochote. CCM haiongozi nchi bali dikteta John Pombe Magufuli. Kama ilivyo kwa Rwanda na Paul Kagame anavyojificha kwenye chama chake na kuitisha chaguzi feki.
Hata akina Sadam Hussein na Gadafi walikuwa na vyama walivyovitumia...
Ndio maana kwa waAfrika neno maendeleo husikika zaidi redioni au kwenye TV.
Siku hizi hadi viwanda husikilizwa kwenye redio, TV na majukwaa ya kisiasa.
Hii nchi inaandaliwa kuingizwa kwenye machafuko ya lazima na CCM kwa kufikiri CHADEMA ikifa ndipo CCM itapendwa.
Kati ya watu wanaostahili kunyongwa hadharani ni wale wanaoshiriki kuua demokrasia na uhuru wa watu kwa tamaa zao za kupora mali za wananchi na kulindana wasiwajibishwe kwa madhambi...
Viongozi wa Tanzania ni wajinga. Mnataka mkamate hadi vifaranga vya kenya mchome moto halafu kwao muende bwereree.
Roho za umaskini, husuda, na chuki vimewajaa viongozi na wanasiasa wa Tanzania.
Badala ya kuiga mambo mazuri ya kenya mfano katiba mpya na chaguzi zilozo huru, sisi...
Moja ya vigezo vya stability ya nchi ni uwezo wa maendeleo yake kuwa endelevu. Maendeleo yanaanzia kwa watu na yapaswa kumilikiwa na watu. Njia mojawapo kubwa ya kuhakikisha maendeleo yanamilikiwa na watu ni kuwapa elimu inayostahi na uhuru wa kujisimamia.
Tatizo la Gadafi alidhani kuwa...
WATANZANIA TUNA AKILI DHAIFU SANA.
Ubepari unasababisha waafrika na waarabu ku-risk kufia kwenye boti ili kufika kwa wanaoishi kibepari.
Ubepari unaweza kutoa mazingira bora ya ajira. Mpaka tunaona watu wanafurika wakitaka kuhamia kwenye angalau ajira za kubeba maboksi kuliko huko choka mbaya...
Kuna watu wanajua kula nchi jamani. Yaani tangu awamu ya kwanza mtu anakula tu mpaka awamu ya tano hashibi? Au ndio nchi haijapata wenye busara zinazoendana na kukua kwa uchumi na mabadiliko ya zama hizi?
TUCTA wanakaa vikao, kula posho, na kuendelea kukaa mpaka mfanyakazi anaumizwa ndio wanatoa mrejesho kujivua lawama.
Ni nini kiliwashinda kuitisha press kuelezea wanaowalipa maendeleo ya hizo kanuni kabla watu hawajaanza kuumizwa?
Kwanini wanahitimisha kwa kuomba wafanyakazi wawe watulivu...
Huyo Nyerere wako yalimfika shingoni akajiuzulu. Huwezi kwenda tuuuu kama kichaa asiyepima anakoelekea. Madikteta wote duniani, hata akina Hitler walikuwa wanaambiwa na wapambe wao kuwa kila anayewapinga anatumwa au anataka kuwakwamisha.
Wachina na wa-cuba hawatangulizi ujinga na ushamba kama unavyofikiri. Uvivu, wivu, uzandiki, unafiki, kuhujumu anayefqnikiwa, kulazimisha watu wawe wajinga, nk havijawahi kumsaidia binadamu kufanikiwa.
Hii nchi ilipata uhuru kipindi kimoja na hao China na Cuba, wakati wenye akili zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.