tunachosahau wasanii Hawaji bure kwa mapenzi yao, wao wamekuja kikazi na kimaslahi ,Hapo waandaji wamepiga pesa na ikiwezekana PCCB itupie jicho.
Msimu wa kupiga pesa huu.2015 wapo waliojenga nyumba na hawakuwahi tarajia hivyo kipato.
baada tu yakampeni
Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company
Location : City Center, Daresaalaam
Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate
Gender : Female
send CV to email : careers@dnh.co.tz
duh! anasaga mifuko mingapi per day, na anaopoa kila baada ya muda gani? ninmevutiwa kujifunza, kwani nataamani kongeza nguvu ktk mwalo. Na lundo la mwezi anauzaje?
It can be done ila kazi ya kuuza chakula si lelemama kama inavyoandikwa , kuuza chakula si kuuza duka. Unauza "Service" ya upishi, hapo lazima uwe mvumilivu na kauli nzuri muda wote.
Ongeza na Huduma ya Nyunguuuu, massage na Nyungu wateja watamiminika.Ulaya hasa nchi za Baridi kuna Nyungu inaitwa Sauna Aromatherapy .kwa kipindi hiki wateja watakuja zaidi
*THE BIG PICTURE IN LOCKDOWN*
If you have been working for a company for more than 5yrs and you don't have savings ... *You need to think*
If you have been doing a particular hustle for more than 5yrs and nothing to show for it.. *You need to think.*
If you've spent one month at home under...
ITs all about new world order.
Tanzania ya awamu hii inauwezo mkubwa sana ya kuiinua kiuchumi nchi yetu kuliko awamu zote zilizopita. kinachotakiwa ni Mh.Raisi kuendelea kuchutama ndani ya IKULU mpaka kieleweke. hii Nchi imebarikiwa sana na rasilimali na ndio sababu kila kukicha hawaishi...
Dini na viongozi wa Dini wanatumia maandiko kukidhi haja za mioyo yao. ukichunguza kwa undani Resources/Pesa huwa ni chanzo kikubwa sana.
Sasa hivi makanisa ya kiroho/pentekoste yameshamiri sana Africa. nyuma ya pazia ni makusanyo na changizo za kifedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.