Naona NEC wansema waitara kashinda ukonga kwa kura 77,456 na Asia wa chadema kapata 8,753...Naomba mwenye matokeo ya watara aliyopata mwaka 2015 ukilinganisha na ya jerry slaa...maana jana kuliripotiwa kama wapiga kura hawakuwa wengi ukilinganisha na mwaka 2015.
Ila tuache utani,kwa maelezo ya wananchi wa maeneo hayo watu walikula kichapo sana,kwani kila aliyekuwa anashuka kwenye daladala maeneo hayo ni kichapo,hata mkiwa watu wawili na kuendelea kichapo..Cha msingi ni kujua source ya huyo askari kuuwawa...Lakini huwezi pata muuaji kwa kupiga kila raia...
Ila kwa jinsi nilivyosikia jana watu wamekula kichapo kuanzia ukonga-Mombasa,mzamabrauni na gongo la mboto stand.Polisi walikuwa wengi wakitembezi kichapo kwa raia.Nasikia kuna polisi aliuwawa juzi maeneo hayo sina uhakika.Mwenye taarifa kamili wa tukio hilo atujuze..
Naona mjadala ungeanzia huku, nadhani katika hela yoyote unayonunua luku au umeme kuna hii percentage ya EWURA 1% kwa mnunuaji yeyote wa umeme inakwenda ewura.nadhani jpm aondoe hizo unit 700 kwa staff wa tanesco na hiyo 1% ya EWURA azitoe ili twende sawa.
Ina maana kesi haijaanza kusikilizwa bado ni swala la dhamana tu au?Maana unaotumika ni mrefu sana.kama swala la dhamana linachukuwa almost miezi miwili. kesi sijui itakuwaje sijui kwa kutehlgeana kwenye vifungu vya sheria.
Habari wana JF wote,kwa wale tunaoishi Majohe jirani na kwa mtumbo njiani kuelekea chuo rada,kuna bar moja inaitwa southern park,hiyo bar wanapiga disko siku zote saba za week,yaani jumatatu mpaka jumapili kuanzia saa kumi jioni hadi kunakucha.Ni kero kwa majirani lakini serikali ya mtaa ipo...
Wana JF,naomba kuuliza kati ya SUMATRA na UDA nani anasimamia sheria za usafiri nchi hii? Maana ni matamko mengi sana yaetolewa na SUMATRA kuhusu kupaka rangi za route zao katika hizo UDA lakini hadi leo hakuna kitu.Cha ajabu zaidi leo nimepanda UDA kutoka Gongo la Mboto-Ubungo konda anatoa...
Wana JF,
Mbona sijawahi kusikia wabunge wanawake wakiwashukuru waume zao wakati wa kuchangia hoja zao katika mijadala inayo endelea mjengoni Dodoma bali wabunge wanaume ndo hufanya hivyo?Je inamaanisha nini? Hadi kuna spika Makinda akawaambia wawe wanashukuru huku nyumbani kabla ya kuingia...
Soma vizuri rasimu,inasema kutakuwa na jamhuri ya muungano.....then muundo ndoo ni wa shirikisho wenye serikali tatu..
1..serikali ya jamhuri ya mungano
2..serikali ya mapinduzi ya zanzibar
3..serikali ya tanganyika
Hapo vipi?
Rasimu inasema hivi .... sura ya sita
-
24
-
SURA YA SITA
M
UUN
DO
WA
J
AMHURI
YA
M
UUNGANO
Muundo wa
Muungano
.
60
.
-
(1)
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania
itakuwa na
muundo wa
shirikisho
l
enye
serikali tatu ambazo ni:
(a)
Serikali ya Jamhuri ya Muungano;
(b)
Serikali ya
Mapinduzi ya...
Mleta mada hebu tuamabia hapo kwenye nyekundu,ni kipi tume imefuta katika rasimu hii ya pili? kama sio na wewe unatumika na hao ccmmmmmm... wanaokalilishwa bilA Kutumia japo akili yao ndogo walionayo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.