https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=127331&stc=1
Pamoja na nafasi nyinginezo, lakini anahitajika QUALITY CONTROLLER kwa haraka sana.
SIFA:
Experience on Quality Control (Steel Pipes welding and coating, conrete, re-bar, etc)
HUDUMA BORA KWA MTEJA ni ngaja la kitaifa katika kuinua uchumi wa ndani, biashara nyingi zinazoendeshwa na sisi watz hazina mazingira rafiki kwa wateja wake; tunahitaji mabadiliko makubwa katika mfumo wa uendeshaji biashara zetu, vinginevyo tutabaki kulalamika kwamba wawekezaji kutoka nje...
UTALII WA NDANI, KUHUSU MWANZA.....???
Naomba kufahamu sehemu za kutembelea (sight seen) MJINI MWANZA, zikiwemo sehemu zenye vivutio, historia, chakula; vile vile sehemu za malazi.
Mliopo MWANZA fungukeni.......!!!
Wana JF; nahitaji kukodi bull dozer kwa ajili ya kuvungja msitu maeneo ya kisarawe, kwa yeyote anayefahamu kampuni au mtu ambaye anakodisha mashine hii na gharama zake kwa siku au saa.
Natanguliza shukrani
Huyo unayemtafutia kazi hayuko tayari na kazi; unapoteza muda wako. Nimempigia simu na kumwambia kuna kazi hapa dodoma, tunahitaji housekeeper ambaye amfanya hotel management na mshahara wa kuanzia ni Tsh. 200,000/= (malazi na chakula bure), ameonekana hayuko tayari. hakuna sababu ya mtu kuweka...
Kweli haya maswala ya mtafuata kazi na mwenye kazi yanatuchanganya sana hapa bongo; yaani mimi natafuta mtu mwenye sifa hizo kwa takribani wiki mbili bila mafanikio. Nimegundua tatizo kubwa tulilonalo kwa vijana wetu hawana uwezo wa kufanya hizo kazi wanazotafuta. Natafuta mtu wa kuhudumia...
NAFASI YA KAZI: HOUSE KEEPING
Mahali: Dodoma Mjini
Sifa: Awe na uwezo wa kupika (chef),
Awe na uwezo wa kuongea lugha ya kiingereza.
NB: Nafasi ya upendeleo kwa yule aliyepitia masomo ya hotel management (house keeping + chef).
Big deal kwa mwenye uwezo wa kuongea...
Gari la kununua linahitajika (5 doors): Toyota Landcruiser 4WD (Prado, VX, GX, etc) or Nissan Patrol
Weka Picha hapa na specification; kwa maelezo zaidi - call 0714 460528, 0757 941044
Tukikubaliana utahitajika kulisafirisha gari mpaka Dodoma.
Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana katika ustawi wa jamii yetu; mfumo wetu wa elimu hautuandai katika kujitegemea na badala yake unaelekeza sana kuajiriwa. Kulingana na tatizo hili tumeanzisha programu ya kusaidia watu kuanzisha na kuendeleza biashara ambapo kwa majaribio tunaanza mkoani Dodoma...
YOHANA 9:1-25
1. Yesu alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa. 2 Wanafunzi Wake wakamwuliza, Rabi, ni nani aliyetenda dhambi, ni huyu mtu au wazazi wake hata azaliwe kipofu? 3 Yesu akawajibu, Huyu mtu wala wazazi
wake hawakutenda dhambi. Alizaliwa kipofu ili kazi za...
habari zenu wapendwa, nasikia mitaa ya samaki - Dar kuna wazungu huwa wanauza vifaranga vya kuku ila kwa mwanzo wanakuja kuangalia mabanda yako kisha kwa mara ya kwanza wanakupa vifaranga bure na wakikuwa wananunua wenyewe ili mfugo wa pili ukanunue kwao, yaani kama wanafanya "PROMOTION FULANI"...
Usimwache mke wako, kumbuka ulikula kiapo kwa shida na raha; muhimu kutambua kwamba mwanadamu yeyote anaweza kubadilika na kuwa tofauti na alivyokuwa au ulivyotarajia. Jambo la msingi usitake kushindana nae, mpe uhuru wake; jitahidi kukaa kimya, unapokaa kimya atashindwa kuelewa nini mtazamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.