Nipo goba kwa ndambi. Nimeinunua tarehe 30/11/2013. Nikaitumia kibiashara kwa miezi 3 kisha nikaipaki tu ndani. Mwezi huu mwanzoni nikampa kijana mwingine akaanza longo longo sasa biashara imenishinda. Naiuza kwa shilingi za kitanzania 1,300,000/= mwenye kuihitaji awasasiliane na mimi kwa namba...
Ukiwa busy kusaka manoti uwezi kutambuwa kama kuna wanawake wazuri au wabaya. Mimi kila siku nipo posta naona wanawake ni walewale tu. Kama wewe ngono ndilo kitu kilicho kuwepo kwenye akili yako, ndio maana unawaona. Na usione vyang'ara vimegaramiwa au kujigaramia. Na siyo vyote ving'avyo ni...
Me thinks women are designed to turn things upside down. So I dont get upset when I see em screw up cos its part of their nature. Right from time immemorial
Kujisikia hivyo nafikiri.
Wasichana wengi wanaamini jukumu la matunzo yao ni kwa yule anaye date naye. Rafiki yangu moja yupo kwenye situation kama hii.
Binafsi, nafikiri msichana aliyopo kwenye mahusiano ni vyema ajigharamie yeye mwenyewe unless boy friend wake aamue kumsupport inapobidi kwa...
Waishio Dar es Salaam na Pwani. Inakufahamisha mkutano wa wanachama wote na ambao bado awajawa wanachama waje wajiunge. Mkutano utafanyika tarehe 05/01/2014, Siku ya jumapili, Moshi hotel, Mazense tip top. Mkutano utaanza saa 8 kamili mchana mpaka saa 11 jioni. Ukisoma ujumbe huu, mfahamishe...
You know, you don't win heart's love through lies. She will find out sooner or later. The truth will find itself out of the bag you keep it. I'l advice you to do this, on the day you will tell her, make sure nobody is with you. Prostrate to tell her the truth, sincerely and ask for her...
She's still very young...just ignore her, take her like a sister and call her to order! It won't make sense if you take advantage of this young gal. She's just 17.
I know is tempting but you just have to put an end to her madness and make her stop maybe you should invite your babe more often.
Kwangu mimi,
1- Lazima anipende (muhimu sana kwangu)
2- Awe na elimu pamoja na uelewa wa kutosha
3- Awe mchangamfu
4- Awe na huruma/kujali
5- Lazima ajue kupika. (Kupika chakula iwe hobby yake) kwamtoro
Wanasayansi wamethibitisha kwamba wanaume wengi walio kwenye ndoa awana furaha. Siyo kwa sababu ya ukorofi wa wake zao au upungufu wa pesa. Ndoa inaonekana kama paradise lakini wanaume wanapenda uhuru.
Kwa nini wanaume wanaoa? Ni kwa sababu ya unyonge inawapelekea kutafuta company ku satisfy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.