mimi pia mwalimu, nmepata bahat tangu nimeanza kazi nmekuwa international schools, sio English mediums, I mean international schools, huku mshahara ulikua mnono sana. Kwa sasa covid imetuweka benchi ila ndio uzembe wa kutegemea salary kwa kila kitu sasa nahangaika na maisha, as walivyosema hapo...
Naandika kwa niaba ya rafiki:
Ninafanya kazi kwenye moja ya international schools Dar es Salaam. Agizo la waziri mkuu kwamba shule zifunge lilipotoka tulianza likizo na mwezi wa tatu tulilipwa, tulikua tukifundisha kutokea nyumbani.
Sasa week iliopita mwajiri aliandika ujumbe kwa baadhi ya...
Najua kabisa kama mimi watakuwepo wengi tu, tunaohangaika kwenda kujaribu life nje ya nchi.
Katika pita pita zangu nmekutana na makampuni yanayosaidia kupata scholaship(Moja kati ya njia ya kwenda huko) kama zifuatazo:
Bero Tanzania hawa wanakusaidia kupata scholaship China na bei zao sio mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.