Sioni ajabu mwanamke kupigwa na mme/bwana ake (sio kipigo cha mbwa mwitu) ila kipigo tu cha kumshikisha adabu. Kupigwa kwa mwanamke huwa ni matokeo ya upumbavu, ujinga na hasa dharau zilizozidi dhidi ya mwanaume.
Wazazi wanapaswa kuwafundisha watoto wao wa kike namna ya kuishi na wanaume
Na...
Mkuu lil ommy ni something else , ana radha yake ya maswali tofauti kabisa na watangazaji wengine. Sio kwamba amemzidi salama, hapana.. ila amekuja kitofauti sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.