Nilikunywa antibiotics sizikumbuki ila maji mengi sana pia yalinisaidia na pia ilikuwa hainekani tatizo ni nini nikaanza kunywa bia mkojo ukawa unatoka mweupe basi ikaishia hapo. Na pia Muhimu kumuomba Mungu
Wakuu zaa saa hizi nimepimwa figo, kibofu ini ila vyote havina shida kwa mujibu wa ct scan wakapima mkojo pia hauna shida ila sasa ninakojoa damu siku ya tatu.
Naombeni msaaada kama kuna mtu ashapata hii shida
Wakuu za saa hizi. Kwa mwenye uzoefu nilikuwa nauliza gharama za ngalawa hotel and resort zanzibar.
Maana nafunga ndoa mwezi ujao nataka kwenda kufanyia honeymoon pAle
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.