Ninapata changamoto wakati wa kujisajili kwenye mfumo wa Ajira TAMISEMI ambapo nikifika hatua ya kuhakiki taarifa unatoka ujumbe wa kwamba Taarifa zangu haziendani na Taarifa za NECTA. Nimehakiki kila Taarifa ziko sahihi
Azam TV walitutangazi a kwamba wataonesha mechi ya Ligi Kuu Uingereza (EPL) mchezo kati ya Chelsea na Sheffield United lakini cha ajabu mda mfupi mchezo unapotaajia kuanza wakakata matangazo na baada ya muda wakarudisha. Nadhani wajipange kwanza kabla ya kutangaza kwa mbwembwe kumbe hakuna kitu.
Umeshikilia kwenye kipengele cha dunia lakini hujaziona hoja zingine nilizoeleza? au kwingine kote umeelewa isipokuwa kipengele hicho? Mfano hoja yangu kwamba kufundishwa darasani sio kigezo pekee cha kuelewa na kufaulu, bali hata kwa namna nyingine ya kutafuta maarifa.
Huwezi kupingana na mabadiliko ya Dunia, kupata cheti ina maana kwamba ulifanya mitihani ya masomo husika ukafaulu ndipo ukapata cheti. Kufaulu mtihani au kupata uelewa wa kitu chochote sio lazima ufundishwe na mtu bali hata kwa kujisomea wewe mwenye kutoka katika vyanzo mbalimbali. SO...
Umeandika maelezo marefu na mazuri nilidhani unazungumzia suala la kiutumishi wa Umma nikajiandaa kuelezea facts kwa mujibu wa utumishi wa Umma. Lakini mwishoni naona umemalizia na habari za Tundu Lissu nikaona nikae kimya maana masuala ya kibunge/siasa hayaendani na Utumishi wa Umma. Basi kwa...
Kuna umuhimu wakati wa kujiunga JF tuwe tunaambatisha vyeti vya kuzaliwa, maana naona wimbi la watoto wa primary kujiunga JF linaongezeka. Hawa ndio great thinkers.
Huo ni uhamisho na sio ajira mpya. So zitafuatwa taratibu za Utumishi wa umma katika kushughulikia uhamisho ikiwa ni pamoja na kupata kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Utumishi then itatumwa barua yako ya uhamisho na itatakiwa kupitishwa na mwajiri wa sasa ndipp utaondoka. Vuta subira.
Matatizo yaliyokukuta wewe katika taasisi yako unayafaunayafalnya kuwa matatizo ya taasisi zote. Tuoneshe Utafiti ulioufanya hadi kufikia hitimisho hilo na je ulichukua sample ya Taasisi ngapi?
Wewe mbishi watu kibao ambao waliwekwa reserve katika database wanapigiwa simu wakafuate barua zao na hawakutoka kwenye orodha yoyote. Jamaa naona kajaribu kukuelekeza humuelewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.