Kwa yeyote anayejua zilipo ofisi za makampuni haya, tafadhali naomba msaada wa kuelekezwa au mawasiliano yao.
1. Arab contractors, walioshinda tenda ya stiglers George
2. GS Engineering, walioshinda tenda ya selander bridge
Tafafhali sana kwa atakayewiwa anicheck kwa WhatsApp/ call +255 655...
Mtoa post unajitahidi kupotosha lakini bado sana, Daudi Bashite anatumia lugha hiyo hiyo kujitetea eti wanaompinga na kukosoa kwa tabia zake na matukio yake ni wahusika wa madawa ya kulevya, upuuzi mkubwa huu, kwa hiyo afanye anavyotaka?? kila analofanya yeye eti anapamabana na madawa ya...
Baada ya kutafakari kwa kina mwenendo mzima wa siasa za kiafrika nimejifunza machache sana yanayojenga lakini yaliyo mengi ni upumbavu na upuuzi tu ambao una halalisha watu wengine hasa wazungu kutudharau,
Siasa za visasi, majungu, sifa, unoko, umbeya, kujipendekeza na kuwafanya unaowaongoza...
Umemjibu vizuri sana mkuu, ndivyo walivyo vijana wengi, na huwa wanaanza kupeleka majungu kwa ma director ili kuwachonganisha na mabosi wao, nawachukia sana vijana wa namna hii
Mkuu wa Mkoa wa Iringa aondoke tu maana hakuna namna, sijui JK alitumia vigezo gani maana ni mzigo, haiwezekani mkoa unaozalisha mazao ya chakula kwa wingi unaweka mkuu wa mkoa legelege!!!!! hii ni nini??? huoni hata siku moja akisistiza kilimo? anaonekana wakati wa ziara za viongozi wakuu...
Dah!!! hii nchi ya kipumabavu sana, atatoaje HATI ya Rais bila idhini ya Rais? ina maana kama hati inatolewa na Rais pekee, Nyalandu aliitoaje bila JK kuisaini? huu ni uozo wa JK tu!! yaani huyu JK ilitakiwa apigwe mawe hadharani
SAFI SANA SIKU HIZI KWETU BUNJU KUMETULIA SANA, ZILE BODABODA ZILIZOKUWA ZINABEBA SUKARI NA MAFUTA NA KUKIMBIA SPIDI KUBWA HATUZIONI KABISA, KAZI NZURI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.