Mkuu habari za siku, nimatumaini yangu kuwa baada ya kupata ushauri mbalimbali kutoka kwa wanaJF kuna maamuzi uliyafanya na tayari utakuwa na jambo live la kufundisha wengine. Kwa ufupi nilitaka nipate feedback ya maamuzi yako na maendeleo yako kwa sasa.
Walioanzisha ni Yanga hao hao mwaka jana kuzishadadi ,timu zote zilizokutana na Simba mpaka na kocha wao kuterekeza timu wakati inacheza na Lipuli kwa ajili ya kuzisaidia hizo timu. Hawa yanga wapigwe faini takatifu na wewe mkurya acha kuhimiza vurugu.
Mkuu ukiona unaandika uzi lakini hujapata hata like moja na huku unashambuliwa jitafakari sana. Kwanza naipongeza sana serikali kwa uamuzi huu mzuri. Muda wa kureguleti bei iliondoka na Nyerere, sasa hivi tunatakiwa tuishi kwa nguvu ya soko kama tunataka kupunguza tatizo la vijana kukosa ajira...
Hapo usiguse tumeumia vya kutosha, tumestaafu miezi kadha iliyopita lakini malipo hakuna. Mungu tubariki labda Rais wetu hajui hili kwani mambo mengi naona anadanganywa sana .
Acha dharau zako dogo, labda mzazi wako hakujua kuwa kuna siku atastaafu. Sisi tuliostaafu ndo tunakula bata hatari vikwini mtaaani tunafagia na kuwaachia mazee yetu ni. Tunapata fedha zisizo na makato yoyote halafu kwa wakati siyo ninyi mpaka mlete andiko humu kuikumbusha Serikali.
T
Tabia yako inataka kuwa karibu na yangu, nadhani malezi ndiyo sababu kubwa ya kupenda kuwa
mpweke. Mimi nililelewa na mama wa kambo tangu mdogo na nikawa mistreated sana , amri kali ya kutokutoka nyumbani, kazi zote za surubu kupewa mimi. Ila nashukuru kwa tabia hiyo imeifanya niweze kupata...
Kuna mdogo wangu wakati alipokuwa shule alikuwa anampiga mzee fedha ndefu kumbe alikuwa anaomeshea rafiki yake. Baada ya wote kumalizia kidato cha sita walifanikiwa kupata kazi na kuwa maofisa wakubwa. Cha ajabu urafiki wao umekufa lakini yule kijana aliyesomeshwa amekuwa sehemu ya familia...
Mwanzo 1:28 sipendi kumhukumu leo ni jumapili ila amedharau sana kazi ya Mungu ya uumbaji na kumpa sifa za uumbaji shetani. Nami ni mkosaji ila huyu kakufuru 😳⁉️
Hebu acha matano hayo, mimi ni mmoja wa wastaafu wanaosubiri mafao . Mbona unatupa uchungu hivi? Kwa nini kila taasisi wanakuwa waongo hivi ndo wasitumbuliwe? Kama ni kweli watujulishe wamelipa mpaka mwisho mwezi gani?!!
Umeamua kumdharau Rais wetu kiasi hiki kwa kumuita mwongo na asiesema anachokisimamia? Ukishughulikiwa na wasiojulikana mnaanza kelele. Hii ni dharau iliyokithiri kwa Rais wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.