Hiyo nilazima wala msijidanganye usipofanya hivyo utasota mpaka hadcopy yamajina ikaje utakuwa umeisoma namba please fanya hivyo hilo swala ni serious mkuu
Kwanza inaonekana ww hakili yako haipo sawa haiwezekani uendelee kunifatilia kama tarifa Haifa broo temana nayo sikuanza kuleta ugomvi humu sijawahi ona m2 wa ajabu kama ww
Broo kwan ubaya upo wap mm naona ipo njema kk angu hiyo ni kama breaking news lakini kama umekwazika sorry for that coz human being are created to mistake Na ndiyo maana tunasema hamna aliye mkamilifu
Jana jumatatu tulifanya uchaguzi wa raisi wa chuo ambao ulifanyika Kwa amani Na kufikia tamati saa kumi kamili jioni Na muda wa saa nne usiku matokeo yalitoka yakionyesha bwana Edward Kunyara aliibuka mshindi Kwa kuwazidi Kura wagombea wenzake bwana Edward Kunyara Kwa sasa ndiyo raisi wa sokoine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.